Kiapo kina maana gani?

Kiapo kina maana gani?

mukama talemwa

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
160
Reaction score
29
Tumeshuhudia mara zote Rais kabla ya kuanza kazi lazima aapishwe,mawaziri,wakuu wa mikoa makatibu wakuu na viongozi wengine wakiwemo wanasheria.Sasa mimi ninashangaa kwanini wakivunja kiapo wasishitakiwe kwa kukiuka kiapo,au akina maana, kwakuwa hata Baraza la mawaziri linalo tegemewa kuvunjwa kati ya kitu wakicho vunja ni kiapo. walicho apa wakati wanapata uwazili.
 
Back
Top Bottom