Mimi sio mtazamaji wa TV w mara Kwa mara.Imetokea Leo nipo mapumziko.kidogo.Katika kutaguta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel,( nafikiri ni Kituo Cha Taifa)
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi ,kulikuwa na maelezo ( nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu! Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!u
Upo sahh , ila ondoa shaka hayo ni maandishi tu , huwa wanatumia ili kupanua wigo wa hiyo chanel kutizamwa huko duniani , french, español, English zoote zinatumika. Bila shaka ulikuwa unatizama zabibu za dodoma co?Mimi sio mtazamaji wa TV w mara Kwa mara.Imetokea Leo nipo mapumziko.kidogo.Katika kutaguta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel,( nafikiri ni Kituo Cha Taifa)
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi ,kulikuwa na maelezo ( nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu! Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Hii nchi inaandaliwa kuwa ya kidini. Usisahau maneno ya Yule Mzee wa Chadema kibaraka wa CCMMimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Wacha weeeekinalenga watalii wa nchi za kiarabu mkuu
maneno ya yule mzee yalilenga zanzibar. na nyongeza lugha ya kiarabu sio dini, kama hapa makanisani kinavopigwa kiswahili, basi wakristo wa kiarabu na wao wanatwaga kiarabu kwenye misaHii nchi inaandaliwa kuwa ya kidini. Usisahau maneno ya Yule Mzee wa Chadema kibaraka wa CCM
hutaki watalii mkuu?Wacha weeee
Ulijuwaje kuwa ni Kiarabu?Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Wana hizo mbanga kweli za kutaliikinalenga watalii wa nchi za kiarabu mkuu
Waarabu na utalii wapi na wapi? Wao utalii wao ni kuhijihutaki watalii mkuu?