Kiarabu kinachotumika Safari Channel kinalenga nini?

Kiarabu kinachotumika Safari Channel kinalenga nini?

Waarabu na utalii wapi na wapi? Wao utalii wao ni kuhiji
Prince wa Saudi Arabia alifia hotelini Kilimanjaro hotel alikuwa anakuja Bongo kila mwaka na anamwaga dola za kutosha.

Utalii wa Waarabu ni wa uwindaji ndio wanapenda zaidi kuna image umeijenga mpaka uone makanzu na vilemba ndio ujuwe kwamba hawa ni Waarabu.
 
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.

Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.

Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).

Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!

Nikajiuoizà hii imeanza lini?

Au Ndio paradigm shift to Middle East!
 
Mimi pia Nilistaajabika sana kuona hii kitu.. Na nilitamani hadi kuanzia uzi humu.
IMG_20240916_190645.jpg
 
Kwanini wasitazame? Na wao ndiyo wenye ndege nyingi zinazokuja Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote.

Kuna Emirates, kuna Gulf Air, kuna Oman Air, kuna Egypt Air, kuna Saudia Airlines.

Kwa leo hizo zinakutosha.

Unafikiri wageni wengi wanaokuja Tanzania na wenye fedha zao ni kina nani zaidi ya Waarabu ?

kuna na Qatar airways, fly Dubai, Etihad airways
 
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.

Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.

Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).

Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!

Nikajiuoizà hii imeanza lini?

Au Ndio paradigm shift to Middle East!
ni wadau wakubwa wa kununua hao wanyama au unataka nini
 
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.

Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.

Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).

Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!

Nikajiuoizà hii imeanza lini?

Au Ndio paradigm shift to Middle East!

Huelewi kuwa hata hilo neno "safari" ni la Kiarabu?

Miaka mingi kabla ya kuanza safari channel, kuna Mwarabu mmoja ndiyo alikuja na wazo la luutangaza utalii kwa njia ya TV,.

Alianza kwa kuweka screen kubwa pale clock tower Arusha. Tena ni member hapa JF, abaitwa Alioki, muulize Pascal Mayalla anamfahamu sana Alioki.
 
Ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungegundua Kifaransa, Kichina, Kireno na Lugha nyingine nyingi tu huwa zinatumika kwenye baadhi ya vipindi.

Unless una tatizo na Waarabu.
Yaa hawawez kujificha hao hawajua kiarabu ni lugha tena among top 5 of UN language lakini yy maandishi tu keshaanza kubweka anaona ni msikitini pale
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Basi na ile muvi ya loyo tuwa angeenda kuivumbulia saudia ili tujue moja basi,yaani wazenji wanapenda waarabu sana😁😁😁🤔🤔🤔 amalize mda wake bhana
Kwa hiyo kinachokukera wewe ni nini haswa?
Wazenji kupenda Waarabu?

Au una kingine unashindwa kukitamka?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.

Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.

Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).

Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!

Nikajiuoizà hii imeanza lini?

Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Nunua bundle. Hizo channel za ajabu ajabu utazitazama siku ya game ya simba tu
 
Hakuna kitu kama hicho.

Hii ndio Chanel yangu pendwa sana ninayo itazama.

Kwaasilimia kubwa yanayo elezwa nakuoneshwa niutangazaji wa vivutio vyetu na lugha inayo tumika kwa asilimia 99 ni kiswahili.

Labda kama ulikua ushajidunga konyagi ukawa unasikia kiarabu au kihindi.
Subtittle za kiarabu zipo baadhi ya vipindi safari usibishe
 
Back
Top Bottom