Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Prince wa Saudi Arabia alifia hotelini Kilimanjaro hotel alikuwa anakuja Bongo kila mwaka na anamwaga dola za kutosha.Waarabu na utalii wapi na wapi? Wao utalii wao ni kuhiji
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Kwanini wasitazame? Na wao ndiyo wenye ndege nyingi zinazokuja Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote.
Kuna Emirates, kuna Gulf Air, kuna Oman Air, kuna Egypt Air, kuna Saudia Airlines.
Kwa leo hizo zinakutosha.
Unafikiri wageni wengi wanaokuja Tanzania na wenye fedha zao ni kina nani zaidi ya Waarabu ?
ni wadau wakubwa wa kununua hao wanyama au unataka niniMimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
ndio mkuu, huku Jordan ni mojawapo ya channel pendwaKwa hiyo ni Waarabu wnaitazama Safari Channel
Halafu kuna kondoo anakuja kuuliza "Kiarabu cha nini kwenye safari channel?"kuna na Qatar airways, fly Dubai, Etihad airways
Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Yaa hawawez kujificha hao hawajua kiarabu ni lugha tena among top 5 of UN language lakini yy maandishi tu keshaanza kubweka anaona ni msikitini paleUngekuwa mfuatiliaji mzuri ungegundua Kifaransa, Kichina, Kireno na Lugha nyingine nyingi tu huwa zinatumika kwenye baadhi ya vipindi.
Unless una tatizo na Waarabu.
Kwa hiyo kinachokukera wewe ni nini haswa?Basi na ile muvi ya loyo tuwa angeenda kuivumbulia saudia ili tujue moja basi,yaani wazenji wanapenda waarabu sana😁😁😁🤔🤔🤔 amalize mda wake bhana
Waswahili wengi wanaogopa lugha ya kiarabu, wanaona kama wanasilimishwaKuna shida gani safari channel kutumia kiarabu?
Nunua bundle. Hizo channel za ajabu ajabu utazitazama siku ya game ya simba tuMimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Subtittle za kiarabu zipo baadhi ya vipindi safari usibisheHakuna kitu kama hicho.
Hii ndio Chanel yangu pendwa sana ninayo itazama.
Kwaasilimia kubwa yanayo elezwa nakuoneshwa niutangazaji wa vivutio vyetu na lugha inayo tumika kwa asilimia 99 ni kiswahili.
Labda kama ulikua ushajidunga konyagi ukawa unasikia kiarabu au kihindi.
Kingine kipi??!!Kwa hiyo kinachokukera wewe ni nini haswa?
Wazenji kupenda Waarabu?
Au una kingine unashindwa kukitamka?
We unakielewaKuna shida gani safari channel kutumia kiarabu?