Kiarabu ndio lugha ya asili ya sayansi, tiba, biashara na elimu kwa ujumla

Na bado hao waarabu wanabutuliwa na wayahudi kwa sayansi ya lugha yao..
 
Natamani kuamini ila mmh hii ngumu isee..
 
Soma "the book of died" then unaweza kujenga hoja ikaeleweka...when it comes to real history achana kabisa na msimamo wa Imani..
 
Hadi miaka ya 800 Waarabu walikuwa hawajui kuandika Wala kusoma ni Nini.
 
Ukishaandika "Quran iliteremshwa" unakuwa umeshapoteza credibility ya kuwa mtu mwenye utimamu wa akili
 
Wapalestina,Wasomali,Wairaq,Waafghanistan,nk wameponaje huku wengi wao wakiwa Wakimbizi Ulaya kwa Makafiri?
 
Kwanza elewwa kwamba habari za socrates na wengine uliowataja wala usingeliwajua kama si akina hao ALKHWARIZM.kwa uadilifu kabisa wakakuwekea habari zao na kutafsiri kazi zao.
Wote unaowataja walifanya kazi wakati wao lakini zilikuwa zina makosa mengi sana.yalisahihishwa na waislamu na kuendelezwa.
 
Hata Papa Sylvester unaamini na yeye alidanganywa.Mbona yeye hajawadanganya na nyinyi.
 
Kilatini
 
Nilipofika hapa nikakoswa maana ya uzi wako. Maana walichokifanya ni kutafsiri tu ili watu wa lugha yao nao waweze kuelewa kinachozungumziwa ndani ya hvyo vitabu na ni utaratibu wa kawaida kutafsiri vitabu ata kwenye nyakati za sasa
Mjinga sana wewe.Ulitaka wafanye nini sasa.
Walitafsiri kuweka pamoja elimu.Tulisema baada ya hapo ambao hawakuwa wajinga na wapuuzi kama wewe walisoma kiarabu na kupata maarifa halafu na wao wakatafsiri kuingiza katika lugha zao.
 
Soma "the book of died" then unaweza kujenga hoja ikaeleweka...when it comes to real history achana kabisa na msimamo wa Imani..
Hoja za kijanja janja tu hizo.Imani inaingia kila kona ya maisha yetu.
Na usipokuwa na imani utasoma historia ya uongo
 
Ukishaandika "Quran iliteremshwa" unakuwa umeshapoteza credibility ya kuwa mtu mwenye utimamu wa akili
Kuna watu akili zao zimeshikiliwa ...ukimuuliza maswali ataishia kukuambia unakufuru..ukumuuliza Mungu ni lini Alishusha kitabu ...na mbona waandishi wa hicho kitabu wanajulikana ila sio Mungu anatoa mimacho tu
 
Kuna watu akili zao zimeshikiliwa ...ukimuuliza maswali ataishia kukuambia unakufuru..ukumuuliza Mungu ni lini Alishusha kitabu ...na mbona waandishi wa hicho kitabu wanajulikana ila sio Mungu anatoa mimacho tu
suali ambalo wala si suali kabisa.Mjinga ndio anauliza kama hivyo.
 
Nje ya Quran, kiarabu hakina mchango wowote katika lugha za dunia. Hadi sasa lugha ambazo zimetawala dunia ni 2 tu; Kingereza na Kigiriki. Nitafafanua.
Wagiriki wamekua wagunduzi wa mambo mengi miaka hiyo ya zamani, unamumbuka Akimedesi? (JIna nimeandika kwa Kiswahili kabisa) mwamba alikua Mgiriki, Newton pamoja na kwamba alikua Mwingereza (alikua na damu ya Kiyahudi huyu jamaa kama walivo mmiliki wa Facebook nk) zile kanuni zake za mwendo aliziandika kwa Kigiriki, why? Ndio ilikua lugha ya sayansi ya wakati huo. Wasomaji wa maandiko hasa Biblia, agano la KALE lote liliandikwa kwa lugha ya Kiebrania why? Because walikua wanaandikowa Waebrania/Waisrael na agano jipya lote liliandikwa kwa lugha ya Kigiriki why? Ndio ilikua lugha ya kimataifa ya wakati huo. Nitataja baadhi ya maneno ya kwenye Biblia ambayo yalikosa tafsiri sahihi kwa lugha tofauti tofauti duniani todate hadi ikabidi lugha zingine zisitoke nje ya Kigiriki/Kiyunani. Neno Biblia, linatokana na neno BIBLOS Kwa Kigiriki/Kiyunani lenye maana ya "mkusanyiko wa vitabu" neno UBATIZO linatokana na neno BAPTIZO kwa Kigiriki/Kiyunani lenye maana ya "zamisha ndani yaa, or loweka ndani ya..." hiyo ya ilikua ndani ya kimiminika, maji or anything of that kind. Neno KRISTO lenye maana ya "mpakwa mafuta" kwa Kiebrania/Kiyahudi au Kiaramu ni masia. Kiaram sio kiarabu. Yehova nano ni neno la Kigiriki, Petro pia ni jina la Kigiriki lenye maana ya stones (tuliosoma kuanzia miaka ya 80 kurudi nyuma mtakumbuka shule ya msingi somo la Geography kuhusu aina za miamba, moja wapo was petrous. Lingine ni SABATO hili ilikua na maana ya PUMZIKO. Ukija kwenye madawa almost yote pamoja na mimea, majina ya Kisayansi yote huaga ni ya Kigiriki/Kiyunani. Katika historia sina kumbukumbu ya kumsikia Mwarabu aliwahi kufanya chochote remarkable. So mleta uzi umetupanga. I know utaleta story za Misri, hili nitalijibu vizuri endapo utaligusia
 
Wavaakobazi bhna ni viumbe wa kuone huruma tu,yani dini iliyoanza na mudi pedophile mwaka 622 leo lugha yake iwe ndio yamaana.

Unawajua warumi,wagiriki,wa mesapotamia?
 
Wavaakobazi bhna ni viumbe wa kuone huruma tu,yani dini iliyoanza na mudi pedophile mwaka 622 leo lugha yake iwe ndio yamaana.

Unawajua warumi,wagiriki,wa mesapotamia?
Ziko wapi lugha zao.
Na nilimfahamsha mwenzako naona kama ameelewa.Ya kuwa habari zote hizo za kale nyuma ya mwaka 622 ingekuwa shida kuzijua kama si juhudi za waislamu kutengeneza mifereji ya kielimu.
Miongoni mwa mifereji hiyo ni elimu ya historia yenyewe ambayo ukisoma Qur'an tu lazima utalipenda somo hilo.Kuna kuhamasisha kutembea,kuvumbua na kuchimbua ili uone walivyokuwa waliotutangulia.Hizo ni tanzu za historia ambazo zinahimizwa na Qur'an.
Ndio maana waislamu kuanzia Baghdad wakaanza kuchimbua na kupeleleza.Mtu aliyeiamsha dunia kuhusu historia za wamisri wa kale ni Alkindy na Alsufi ambaye aliandika kwa urefu historia zao na kufuatiwa na kuchimbua.
Wazungu kwa kusoma maandishi hayo wakaanza kujua umuhimu wa historia.
Huwezi kupata jibu kihistoria kinyume na Uislamu.
 
πŸ˜…πŸ˜… Hawahawa akina Kipoozeo?
Hebu mtaje mwanasayansi mmoja wa Kiislamu/Kiarabu na nadharia yake.
Nimeataja wachache sana hapo juu na umeshindwa kuwasoma.Unashangaza sana
Ngoja nirudie kidogo.Abul qassim ndiye mvumbuzi wa vifaa vya kuendeshea operesheni zetu wenyewe na wake zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…