Kiarabu ni moja ya "lugha rasmi" nchini?

Kiarabu ni moja ya "lugha rasmi" nchini?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
 
Alikua amelewa huyo tangu lini kiarabu ikawa lugha rasmi Tanzania🙄 hata watoto wa mnyaazi mungu wengi wamekariri aya tuu kwenye kitabu chao lakini kuongea kawaida kama lugha hawawezi
Wakristo vipi mnakichapa kiyahudi?
 
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
Ni misinformation. Kwa nia gani ndio vigumu kujua.
 
Sio lugha rasmi. Tanzania ina lugha rasmi mbili, Kiingereza na Kiswahili.

Lakini ina lugha ya taifa moja, nayo ni Kiswahili.

Zaidi ya hapo watanzania wengi wanaongea na kutumia lugha za makabila mbalimbali yanayopatikana hapa nchini.
 
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
TUACHE NA KIZARAMU CHETU NA KINGEREZA CHA SHISHI FOOD
 
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
Tanzania ya Abdul ni ya kiarabu na waarabu
 
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
Ni sahihi. Lugha ya Kiarabu ni moja ya Lugha rasmi hapa kwetu kwa sababu ipo katika mitaala rasmi ya nchi. Ni moja ya somo / Lugha ambayo hutumika mashuleni kwa wanafunzi ku-specialize kama mchepuo na kuwa na wataalam na wazungumzaji ndani ya nchi. So kiarabu, Kifaransa, Kichina, na Kiingereza ni Lugha za kigeni ambazo zipo rasmi na kutumika ktk mifumo rasmi ikiwemo mitaala ya nchi. Mfano mtu anaweza kwa sasa kusoma Arabic and English, or Arabic and French au Kichina. Kwa hiyo, si kiarabu tu pekee, hata kichina na Kifaransa nazo ni official kwa muktadha huo. Pia ukiondoa Kiswahili na Kiingereza kwa Lugha za kigeni Kiarabu ndio lugha inayofuata kwa idadi kubwa ya watumiaji juu ya Kichina na Kifaransa.

Shida watu wanachukulia Lugha ya Kiarabu kuwa ndio Uislamu. Kitu ambacho si sawa. Kuna warabu wakristo na si kila muislamu anajua Kiarabu. Ni sawa na English walitumia mamishenari wakati wa ukoloni na kusambazia dini ya kikristo, ila huwezisema English ni ukristo.
 
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia.

Mtandaoni kuna makala inayoitaja Tanzania kama moja ya nchi 25 ambazo Kiarabu ni official language. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Chad, Algeria, Comoros, Eritrea, Djibouti, Egypt, Palestine, Lebanon, Iraq, Jordan, Kuwait, Mauritania, Morocco, Oman, Qatar, Somalia, Sudan, Syria, Tanzania, Bahrain, na Tunisia.

Makala tajwa yaliwekwa mtandaoni tarehe 22/06/2021, na Mwandishi wake ni Marwan Abdelaziz. Title: HOW MANY COUNTRIES SPEAK ARABIC AROUND THE WORLD?

Hayo ni kweli kuhusu Tanzania au mwandishi kaamua tu kutufagilia?
Sultan wa Oman aliapa kutumia kila njia kurudi kututawala na sasa ameanza kikakati
 
Alikua amelewa huyo tangu lini kiarabu ikawa lugha rasmi Tanzania🙄 hata watoto wa mnyaazi mungu wengi wamekariri aya tuu kwenye kitabu chao lakini kuongea kawaida kama lugha hawawezi
Hapa kwenye haya maandishi yako mwenyewe kuna maneno ya kiarabu kama vile neno " kitabu" lugha ya kiswahili imetoholewa katika lugha ya kiarabu kwa karibi asilimia 50 , lugha nyingine zilizchangia ni kireno kihindi n.k
 
Back
Top Bottom