Kiarabu ni lugha ya magaidi.Kujua ama kutumia Lugha ni dhahama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiarabu ni lugha ya magaidi.Kujua ama kutumia Lugha ni dhahama?
Kiitaliano ndiyo lugha yataifa la Italy na inatumika katika mambo yote hata elimu mpaka vyuo vikuu. Jua kuwa Ulaya karibu kila nchi ina lugha yake rasmi. Kuna Kilatin ambacho hutumika ktk kanisa katoliki mahali pengi duniani kuendeshea shughuli za kanisa na sio kitaliano.Hata waroma wa Tanzania na sehemu zingine duniani tofauti na vatcan na Italia hawatumii kiitaliano sembuse wakristo
Tazama mwenendo wa uongozi tulio nao na ugawaji wa rasilimali kwa kisingizio cha uwekezaji na sheria mpya tata za ardhiHiyo ni tungo tata mkuu! Atarudi kumtawala nani? Watanganyika au Wazanzibar?
Hiyo ni tungo tata mkuu! Atarudi kumtawala nani? Watanganyika au Wazanzibar?
Sasa mbona kama ni Tanganyika ndiyo ipo hatarini?Tazama mwenendo wa uongozi tulio nao na ugawaji wa rasilimali kwa kisingizio cha uwekezaji na sheria mpya tata za ardhi
Hayo yote niliyoyakoleza trangi ni maneno yanayotokana na Kiarabu.Kiarabu kimekaa kushari shari,kujilipua lipua.Mtu anayezungumza kiarabu mara nyingi anakuwa na hasira,chuki,mbaguzi na mjinga mjinga.
usiwe na fikra hasi, kuwa chanya.Hapa hamtaelewana na FaizaFoxy
huyo Allah kaweza kuiumba Mbingu na nchi ashindwe kujua kiswahili au English aweze kiarabu peke ake 😂😂Lugha pekee aielewayo Allah