Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
He he he angalia kalenda vizuri unakumbuka tarehe? Jipange asije kuwa kama dereva wa daladala kwa kuchomekea njiani
Alikua ndo katoka period, mimi ninavyojua kwamba bao la kwanza ndo linakuaga na nguvu kubwa kusababisha mimba sa la kwanza,pili na tatu yote nilipiga nje nina uhakika sema la nne ndo nkapiga ndani ambalo ni kidogo na weak, sa cjui ananipima au ananichezea mchezo wa daladala kama wadau walivosema.
ndio kamaliza siku zake?Alikua ndo katoka period, .
ndio kamaliza siku zake?
huyo kakuchemsha
tafuta humuhumu JF hizo Mada zipo
au ingia Google utafafanuliwa zaidi
ninavyojua ni katikati ya mzunguko wake wa siku 28 (kati ya siku ya 10 hadi 17)
tusubiri wataalamu watakubandikia hilo bandiko km hutaenda kuiltafuta
Jomba mbegu 1 inatosha kumpa mimba mwanamke haijalishi ni bao la ngapi kama kila kitu nipo sawa hii inajumuisha mbegu kuwa na NGUVU ya kuogelea hadi kwenye yai, majimaji ya kuisaport hiyo kuogelea mbegu na yai lililopevuka mambo yanajipa tena fasta
Ndahi utapata jibu ila kwa usalama anzia siku ya 10
NAMNA YA KUTAMBUA MZUNGUKO WAKO.
Ili kutambua mzunguko wako ni wa siku ngapi unatakiwa kuhesabu kuanzia siku ya kwanza kuona damu ya hedhi hadi siku ya kwanza ya kuona damu ya hedhi ya mwezi unaofuata, kwa mfano ukiona damu ya hedhi tarehe 15 December basi hiyo ndio siku yako ya kwanza.
Kwa mtu mwenye mzunguko huo wa siku 28 siku zake za hatari za kuweza kushika mimba ni siku ya kumi na nne 14, hivyo kuanzia siku ya 12 hadi siku ya 16 kama atafanya ngono bila kinga anaweza kushika mimba.
Najua mtu anaweza akajiuliza kama siku ya hatari ni ya 14 sasa kwa nini akifanya ngono siku ya 12 anaweza akapata mimba?
Hii ni kwa sababu mbegu za kiume zina uwezo wa kudumu kwa masaa24 hadi 48 baada ya kujamiiana hivyo kama utafanya ngono tarehe 12 na yai likatoka tarehe14 bado litakuta zile mbegu zikiwa hai hivyo zitarutubishwa.
Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa kwamba atakua kweli ana mimba mkuu?
Hapo wewe ndiyo unatakiwa kupiga hesabu kujua kama mimba imeingia au la
Yani hapo mkuu nijiandae tu maana mda huu huu amenipigia simu anatapika sasa dah. Itakua imenasa kabsa.