Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Habari wakuu,!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu masuala ya uzazi, kwamba ni kiasi gani cha mbegu za kuime zinaweza kusababisha mimba?, nauli hivi kwa sababu girl friend wangu ameniambia ana mimba wakati nakumbuka siku tuliyofanya mapenzi nili with draw karibia round zote tatu na round ya nne nikamwagia ndani lakini mbegu zilikua kidogo sanaaaaa. Sasa je kwa uchache wa mbegu hizo nilizomwagia kweli zilisababisha mimba???
Natanguliza shukrani.
Naomba kuuliza kwa anayefahamu masuala ya uzazi, kwamba ni kiasi gani cha mbegu za kuime zinaweza kusababisha mimba?, nauli hivi kwa sababu girl friend wangu ameniambia ana mimba wakati nakumbuka siku tuliyofanya mapenzi nili with draw karibia round zote tatu na round ya nne nikamwagia ndani lakini mbegu zilikua kidogo sanaaaaa. Sasa je kwa uchache wa mbegu hizo nilizomwagia kweli zilisababisha mimba???
Natanguliza shukrani.