uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 9,616 Reaction score 22,521 Jun 10, 2024 #21 Haya mambo wazazi wa zamani waliyaweza sana ndio maana mlikuwa mnapewa kasinia na MKo Sita mpambane hapo ni ukiinama ukiinuka umekula hako ka nusu kikombe ndio maana hapakuwa na watoto wanene wanene SA siku hizi Junior ni anajipakulia kwenye hotpot
Haya mambo wazazi wa zamani waliyaweza sana ndio maana mlikuwa mnapewa kasinia na MKo Sita mpambane hapo ni ukiinama ukiinuka umekula hako ka nusu kikombe ndio maana hapakuwa na watoto wanene wanene SA siku hizi Junior ni anajipakulia kwenye hotpot