Kiasi Gani Cha fedha uliwahi kuokota? Ilikuwaje?

Kiasi Gani Cha fedha uliwahi kuokota? Ilikuwaje?

Jane Lowassa

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,955
Reaction score
9,041
Jana kulikuwa na sherehe ndogo ya ofisi kwenye ukumbi Fulani.
Nilibanwa nikaenda washroom. Kulikuwa na mwanga hafifu lakini haikunizuia kuona kitu kama pochi kimedondoka chini
Nilitaka kuignore, lakini nilipofocus nikagundua ni pochi ya hela. Nikaiokota haraka na kurudi kwenye sherehe, nikitarajia labda MC atatangaza mtu kupotelewa na pochi lakini hola
Nimerudi nayo nyumbani, asubuhi hii ndiyo nimeifungua. Ni USD tupu!
 
Jana kulikuwa na sherehe ndogo ya ofisi kwenye ukumbi Fulani.
Nilibanwa nikaenda washroom. Kulikuwa na mwanga hafifu lakini haikunizuia kuona kitu kama pochi kimedondoka chini
Nilitaka kuignore, lakini nilipofocus nikagundua ni pochi ya hela. Nikaiokota haraka na kurudi kwenye sherehe, nikitarajia labda MC atatangaza mtu kupotelewa na pochi lakini hola
Nimerudi nayo nyumbani, asubuhi hii ndiyo nimeifungua. Ni USD tupu!
Zimewekewa kafara hizo kwa mtu atakayeziokota ,kama miaka ile ya tisini enzi za Mbaruku tolu.
 
Hongera ulikuwa mtego huo...ili uiname kuokota alafu watu watimize yao...hongera kwa kutegua mtego
 
Binadamu wote tuna kitu kinaitwa 'curiosity' Hali ya kutaka kujua kitu Fulani kwa muda Huo, ntakua wa mwisho kuamini kua uliweza kufika nayo nyumbani ukaiweka mahali bila kuifungua mpaka asubuhi
 
Binadamu wote tuna kitu kinaitwa 'curiosity' Hali ya kutaka kujua kitu Fulani kwa muda Huo, ntakua wa mwisho kuamini kua uliweza kufika nayo nyumbani ukaiweka mahali bila kuifungua mpaka asubuhi
NGUMU SN HYO
 
Hii chai kali sana naona imewekwa na pilipili kdg 😄

Anyway, haya mambo hutokeaga
Waswahili wanasema chakuokota syo cha kuiba!

Ova
 
Jana kulikuwa na sherehe ndogo ya ofisi kwenye ukumbi Fulani.
Nilibanwa nikaenda washroom. Kulikuwa na mwanga hafifu lakini haikunizuia kuona kitu kama pochi kimedondoka chini
Nilitaka kuignore, lakini nilipofocus nikagundua ni pochi ya hela. Nikaiokota haraka na kurudi kwenye sherehe, nikitarajia labda MC atatangaza mtu kupotelewa na pochi lakini hola
Nimerudi nayo nyumbani, asubuhi hii ndiyo nimeifungua. Ni USD tupu!
Kwa nini hukumwambia MC atangaze kama ulikua na nia nzuri?
 
Back
Top Bottom