Kuiba zaka na sadaka, inapaswa tumrudishie alietoa lakini kwa matendo yangu nikala zaka badala ya kumrudishia aliyenijaalia hivyo nimemwibia Mungu lakini najitahidi kuacaha hali hiyo na naendelea vyema
Waamini tusisahau kutoa zaka na sadaka🙏🏿, Bwana ameahidi tumjaribu kwa njia hiyo tuone kama hatatufungulia madirisha ya mbinguni na kutumwagia baraka isiwepo nafasi ya kutosha