Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Biashara ni kitendo cha kubadilishana vitu.
Mfumo wa ajira ulikuja ili kupata watu wa kusaidia kazi watu wengine ambao wanafanya biashara fulani.ππππ
Kama sikosei mfumo ulianza kipindi cha zamani huko watu walipoanza kutawala wengine. Kunazuka wanadamu wajanja ambao wanawazidi wengine akili kisha wanawachukua wawafanyie kazi zao.
Wanadamu hao wanafanya kazi za watu huku wakiwa wananawiri na kung'aa. Umri wao unasonga na kukosa nguvu kisha wanaachishwa kazi na kurudi kwenye asili yao na kuanza kukongoloka na kufa kwa presha. Zile kazi wanapewa watu wengine wenye umri mdogo na nguvu.
Hapo nina maana ya kwamba kujiajiri ni kazi endelevu ambayo mwanadamu hawezi kustaafu kwasababu yupo kwenye asili aliyoumbiwa.
Hivyo ndivyo jinsi Mungu alivyotuumba ili kila mtu afanye shughuli zake kisha tubalishane vitu, kila mtu aweze kupata kile anachohitaji. Hiyo ndiyo asili. Na hiyo asili mwanadamu hawezi kuikimbiaπππππ. Atarudi tu.
Kwasababu ajira inamwisho.
Mwisho wa ajira ni pale unapostaafu.
Mwisho wa ajira ni pale unapotumbuliwa au kufukuzwa kazi.
Mwisho ukifika utakuwa unakula nini usiporudi kwenye asili yako?
πππππLazima utarudi kwenye asili tu ila utakua umechelewa na kufa kwa presha.
Hata uwe waziri mwisho wa ajira yako ukifika utarudi kwenye asili.
Hata uwe mwalimu, dakitari, mkufunzi, mhadhiri, mhandisi, mwanasiasa mwisho wa ajira ukifika utarudi kwenye asili. Na utaanza kutonawiri tenaππππππ
Ama utaingia shambani kulima, πππ au utatafuta fremu ya biashara kwa udi na uvumba.
Lakini huyo aliyekuajiri mwenye kampuni atazidi kunawiri na kustawi maana yeye yupo kwenye asili yake.
Jamii Forums huu utakua uzi wa mwakaππππ. Nasuburi zawadi yangu mwakani.
Mfumo wa ajira ulikuja ili kupata watu wa kusaidia kazi watu wengine ambao wanafanya biashara fulani.ππππ
Kama sikosei mfumo ulianza kipindi cha zamani huko watu walipoanza kutawala wengine. Kunazuka wanadamu wajanja ambao wanawazidi wengine akili kisha wanawachukua wawafanyie kazi zao.
Wanadamu hao wanafanya kazi za watu huku wakiwa wananawiri na kung'aa. Umri wao unasonga na kukosa nguvu kisha wanaachishwa kazi na kurudi kwenye asili yao na kuanza kukongoloka na kufa kwa presha. Zile kazi wanapewa watu wengine wenye umri mdogo na nguvu.
Hapo nina maana ya kwamba kujiajiri ni kazi endelevu ambayo mwanadamu hawezi kustaafu kwasababu yupo kwenye asili aliyoumbiwa.
Hivyo ndivyo jinsi Mungu alivyotuumba ili kila mtu afanye shughuli zake kisha tubalishane vitu, kila mtu aweze kupata kile anachohitaji. Hiyo ndiyo asili. Na hiyo asili mwanadamu hawezi kuikimbiaπππππ. Atarudi tu.
Kwasababu ajira inamwisho.
Mwisho wa ajira ni pale unapostaafu.
Mwisho wa ajira ni pale unapotumbuliwa au kufukuzwa kazi.
Mwisho ukifika utakuwa unakula nini usiporudi kwenye asili yako?
πππππLazima utarudi kwenye asili tu ila utakua umechelewa na kufa kwa presha.
Hata uwe waziri mwisho wa ajira yako ukifika utarudi kwenye asili.
Hata uwe mwalimu, dakitari, mkufunzi, mhadhiri, mhandisi, mwanasiasa mwisho wa ajira ukifika utarudi kwenye asili. Na utaanza kutonawiri tenaππππππ
Ama utaingia shambani kulima, πππ au utatafuta fremu ya biashara kwa udi na uvumba.
Lakini huyo aliyekuajiri mwenye kampuni atazidi kunawiri na kustawi maana yeye yupo kwenye asili yake.
Jamii Forums huu utakua uzi wa mwakaππππ. Nasuburi zawadi yangu mwakani.