Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ni nini kutishana usiku mkuu?
wanaume Haoooooo! M Hb......Ni nini kutishana usiku mkuu?
Hapana aiseewanaume Haoooooo! M Hb......
wanaume Haoooooo! M Hb......Ni nini kutishana usiku mkuu?
Mmh ina maana jiwe nae yumo kati waliopambwa.
ndio nini sasa?Laqad ghalakna l'insaana fiy ahsani takwiiin! Thumma radad naahu asfala saa filiyn!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya Mwenyezi Mungu hayo anajisifia kwamba hakika amemuumba mwanadamu (me/ke) katika umbile linalopendeza/vutia.ndio nini sasa?
una feli mkuu ni wangapi humu wanaijua hiyo lughaManeno ya Mwenyezi Mungu hayo anajisifia kwamba hakika amemuumba mwanadamu (me/ke) katika umbile linalopendeza/vutia.
Nisamehe mkuu. Wapo wachache wanaoelewa. But naamini sasa kwa vile nimefafanua hapo, wengi zaidi watakuwa wameelewa sasa.una feli mkuu ni wangapi humu wanaijua hiyo lugha
Ana kichwa kama Jiwe wetu
mwe we mwana buku la niniNisamehe mkuu. Wapo wachache wanaoelewa. But naamini sasa kwa vile nimefafanua hapo, wengi zaidi watakuwa wameelewa sasa.
Naomba buku!
[emoji23][emoji23][emoji23]mwe we mwana buku la nini
La Pepsi!mwe we mwana buku la nini
ningerusha ila usije ukawa chuma ulete ukasaula account yangu yoteLa Pepsi!