Kiatu alichovaa Diarra Bei yake unasajili kina Chama 3

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa

Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake

Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani

Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...
 
Ushoga unaanza hivi hivi,yaani mtoto wa kiume unapinda mgongo kuazisha uzi kusifia mavazi ya mwanaume mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…