Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa
Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake
Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani
Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...View attachment 2646981
Huu nao ni utahira hivi wewe unaweza kuvaa kiatu anachovaa Diara?, Punguzeni mihemko ya kitoto. 😅Mbona hakifanani na kile? Hata kama mnataka kumtetea mtu kuna mengine muyaache tu ni aibu hizi. Si kila kitu cha kujitetea
Shauri yako mwenyewe wenzako wanaanza hivi hivi,kinachofuata utasifia na boxer yake kisha utamalizia kusifia maumbile yaliyomo kwenye boxerNliona nitoe ufafanuzi ....Baada ya kolo mwenzenu kulalamikiia menejiment ya Yanga kuhusu kiatu
Mzee wala usingehangaika kuyajibu haya MAPUMBAVU MAKUBWA MAKOLOO!HAYAJIELEWI HAYOOO USIUMIZE KICHWA CHAKO!Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa
Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake
Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani
Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...View attachment 2646981
Mlikiona vibaya
Pia mpiga picha alikipiga vibayaView attachment 2647019
Hizi ndiyo mada ambazo maccm yanapenda vijana wajadili.Tate Mkuu kwa mada kama hizi, unategemea maccm yataacha ufisadi? Vijana muda wote tupo kwenye mijadala ya hovyo namna hii
Kumbe wewe ni mbu mbu mbu 🤔🤔Yaaah mkuu....sambamba na rage......alisema sisi mashabiki wa Simba ni Mbu mbu mbu mbu mbu [emoji23]
Upinde huoMwanaume anasifia viatu vya wanaume wenzie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dalili za u.....
Tahira tayari umeshajitokeza, nazungumzia kumtetea na kuonesha kiatu kipya kufananisha na hicho itafanya watu waamini kweli kavaa bei chee ndiyo maana mnatumia nguvu nyingi. Tena nimmemwambia mengine ya si kutetea ni kuacha tu, ili isitoe fikra hizo. Ila kwakuwa una akili za kuvukia barabara tu, ukakimbilia kutoa pumbaHuu nao ni utahira hivi wewe unaweza kuvaa kiatu anachovaa Diara?, Punguzeni mihemko ya kitoto. [emoji28]
Ingekuwa hivyo wala huyo fala na wajinga wote from Uto wadingezamia msosi wa hisani kwa Samia.Yaaah mkuu.... gharama yake inatajirisha ukoo wako wote