Kiatu alichovaa Diarra Bei yake unasajili kina Chama 3

Kiatu alichovaa Diarra Bei yake unasajili kina Chama 3

Ashura cheupe alisema wenye akili ni wawili tuu pale utopolokwinyo [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Yaaah mkuu....sambamba na rage......alisema sisi mashabiki wa Simba ni Mbu mbu mbu mbu mbu [emoji23]
 
Ushoga unaanza hivi hivi,yaani mtoto wa kiume unapinda mgongo kuazisha uzi kusifia mavazi ya mwanaume mwenzio.
Nliona nitoe ufafanuzi ....Baada ya kolo mwenzenu kulalamikiia menejiment ya Yanga kuhusu kiatu
 
Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa

Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake

Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani

Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...View attachment 2646981



Maskini mna shida sana, kweli mnajadili thaman ya mavazi ya mtu? Kwani hizo sandal za diamond aliyetoa 10m ni bei gani?
 
Mbona hakifanani na kile? Hata kama mnataka kumtetea mtu kuna mengine muyaache tu ni aibu hizi. Si kila kitu cha kujitetea
Huu nao ni utahira hivi wewe unaweza kuvaa kiatu anachovaa Diara?, Punguzeni mihemko ya kitoto. 😅
 
Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa

Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake

Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani

Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...View attachment 2646981
Mzee wala usingehangaika kuyajibu haya MAPUMBAVU MAKUBWA MAKOLOO!HAYAJIELEWI HAYOOO USIUMIZE KICHWA CHAKO!
 
Tate Mkuu kwa mada kama hizi, unategemea maccm yataacha ufisadi? Vijana muda wote tupo kwenye mijadala ya hovyo namna hii
Hizi ndiyo mada ambazo maccm yanapenda vijana wajadili.

Huwa hawataki kabisa kuona vijana wa nchi hii wanahoji kuhusu yale mambo ya msingi, na yahusuyo mustakabari wa Taifa letu.
 
Huu nao ni utahira hivi wewe unaweza kuvaa kiatu anachovaa Diara?, Punguzeni mihemko ya kitoto. [emoji28]
Tahira tayari umeshajitokeza, nazungumzia kumtetea na kuonesha kiatu kipya kufananisha na hicho itafanya watu waamini kweli kavaa bei chee ndiyo maana mnatumia nguvu nyingi. Tena nimmemwambia mengine ya si kutetea ni kuacha tu, ili isitoe fikra hizo. Ila kwakuwa una akili za kuvukia barabara tu, ukakimbilia kutoa pumba
 
Back
Top Bottom