Kiatu alichovaa Diarra Bei yake unasajili kina Chama 3

Mmebakia kujitafutia faraja mpk kwenye viatu...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanamitindo huwa kikabwilikabwili, Hata hivyo hata kiwi.
 
Maskini mna shida sana, kweli mnajadili thaman ya mavazi ya mtu? Kwani hizo sandal za diamond aliyetoa 10m ni bei gani?
Sasa kama makolo yana bisha .....tushindwe kuwafundisha???[emoji23]
 
Shauri yako mwenyewe wenzako wanaanza hivi hivi,kinachofuata utasifia na boxer yake kisha utamalizia kusifia maumbile yaliyomo kwenye boxer
MBU MBU MBU.......wekeni mawazo ya kufika final
 
Mzee wala usingehangaika kuyajibu haya MAPUMBAVU MAKUBWA MAKOLOO!HAYAJIELEWI HAYOOO USIUMIZE KICHWA CHAKO!
Makolo ni ndugu zetu mkuu.....acha tuwaelimishe kidg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…