Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabwili huyo achana nayeIngekuwa hivyo wala huyo fala na wajinga wote from Uto wadingezamia msosi wa hisani kwa Samia.
Na kwa ujinga wako unakisifia kiatu cha mwanaume mwenzio
Pits fool[emoji57]
Mmebakia kujitafutia faraja mpk kwenye viatu...
Ni kabwili haswaKabwili huyo achana naye
Haya ya viatu vya jiara nayo ni maarifa!!!Wabongo ni wavivu kutafuta maarifa
Wanamitindo huwa kikabwilikabwili, Hata hivyo hata kiwi.Baada ya kuona ndugu zetu wanalunyasi ( mabingwa wa kombe la robo fainali [emoji23][emoji23] kuishiwa uchambuzi na kuanza kuchambua Hadi viatu vya Diarra .....alivyokuwa WASAFI studio kupokea zawadi Toka Kwa legendary wa bongo fleva hapa Africa
Nimeona niwaletee thamani ya kiatu chake
Unaambiwa ni kiatu ghali sana ambacho hutumika na Wana fashion maarufu sana Duniani
Gharama yake unaweza sajili kina Chama watatu, Phil na mzungu dejani .....pia kuwapa shahara Kwa mwaka 1...View attachment 2646981
Sasa mbona nawe umehemka.Huu nao ni utahira hivi wewe unaweza kuvaa kiatu anachovaa Diara?, Punguzeni mihemko ya kitoto. 😅
Yanga kuna hazina kubwa ya wapumbavu,yaani mtu anaazisha thread kujadili kiatu cha mtu,inasikitisha sana.WAPUMBAVU wanaongezeka kwa sana....
UJINGA UNAZIDI kuwavuna vijana