Kiatu alichovaa Diarra Bei yake unasajili kina Chama 3

Tate Mkuu kwa mada kama hizi, unategemea maccm yataacha ufisadi? Vijana muda wote tupo kwenye mijadala ya hovyo namna hii
Mkuu.....hii nchi bila ya CCM sizani kama ungeendelea kuinjoy life .............as u do now

bila ya CCM Maendeleo yasingekuwepo ..... imagine mbowe ni mwenyekiti Toka nimezaliwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni mpumbavu nambari one.. Nenda ukaolewe na Diarra uwe una safisha hicho kiatu. Swaini
 
Uongo siyo kitu kizuri. Hivi viatu ni kwa ajili ya mafundi ujenzi. Na kwenye site za wachina, nafundi wanapewa buuure
 
Hakuna kiatu cha bei ya kumsajili Chama Tanzania hii acheni ujinga. Ushabiki maandazi usiwafanye mdhalilishe watu.
 
Uongo siyo kitu kizuri. Hivi viatu ni kwa ajili ya mafundi ujenzi. Na kwenye site za wachina, nafundi wanapewa buuure
Makolo wenzako ....wameelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…