Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #61
Mkuu.....hii nchi bila ya CCM sizani kama ungeendelea kuinjoy life .............as u do nowTate Mkuu kwa mada kama hizi, unategemea maccm yataacha ufisadi? Vijana muda wote tupo kwenye mijadala ya hovyo namna hii
bila ya CCM Maendeleo yasingekuwepo ..... imagine mbowe ni mwenyekiti Toka nimezaliwa [emoji23][emoji23][emoji23]