Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,564
- 55,570
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Laana za zari. Na bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Laana za zari. Na bado.
Wanashangaa kiatu ya mchina kukatika🙁🙁Hii nayo habari!!
[emoji106]Ndio sababu sijawahi pendezwa au kushawishika kuwa upande huu wa umbea kwa sababu ya vitu kama hivi. Yaani inakuwa kila unachokiona mkono unawasha kuandika. lol
vyanzo vyangu vya habari vimeniambia una binti yako mrembo balaa tena almost age mate wangu..naweza nkawa mkweo?Laana za zari. Na bado.
So what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
hiii kali maana kuna mtu kasema laana za zariLaana za luge
"Domo Ndi"So what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
Lakheri sheikh...Maalimu sabalaheri.
Yule binti wa usa naona anamdhalilisha sana sheikhe wetu.
Mambo yetu yaleee tunayoyapenda yote yanaandikwa bila aibu.
Sijui twelekea wapi sheikh.
So what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
Weka na yako hapaNimetazama picha yako huo mdomo..dah wacha niishie hapa....una stress za maisha poleeee
hahahah aiseeSo what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
Wakili msomi..!So what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
Mwanaume mzima kuendekeza chuki kwa mwanaume mwenzio ni aibu kwa wanaume wenzioSo what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma
Na wewe mwanaume kumpenda mwanaume mwenzako je?Mwanaume mzima kuendekeza chuki kwa mwanaume mwenzio ni aibu kwa wanaume wenzio
Kupitia njiaa gani mkuu kuwa muwaziUstaa kazi...ata akipumua mbele za watu itakuwa ni habari
🙁🙁Hii nayo habari!!
SOURCE: MWANANCHI
Waswahili wanamsemo wao usemao ajali kazini. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond ambaye amewasili katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Kisutu lakini amekutana na balaa baada ya kiatu alichovaa kukatika.
Kwa ufupi
Msanii huyo alianza kuchechemea kuonyesha mguu wake wa kushoto kulikuwa na tatizo. Ghafla alibadili mwelekeo na kwenda kwenye gari. Kilichotokea hapo ni kwamba ‘sendozi’ yake ilikuwa imekatika.
Hadija Jumanne
Dar es Salaam, Waswahili wanamsemo wao usemao ajali kazini. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond ambaye amewasili katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Kisutu lakini amekutana na balaa baada ya kiatu alichovaa kukatika.
Msanii huyo alianza kuchechemea kuonyesha mguu wake wa kushoto kulikuwa na tatizo. Ghafla alibadili mwelekeo na kwenda kwenye gari. Kilichotokea hapo ni kwamba ‘sendozi’ yake ilikuwa imekatika.
Msanii huyo alionekana kuendelea na shughuli iliyompekeka mahakani hapo huku akiwa amekaa nje kwenye bechi pamoja na wakili wake kusubiri utaratibu.
Diamond ambaye aliambatana na mwanasheria wake, akiwa katika gari aina ya Land Cruiser Prado rangi ya bluu mpauko.
Mara baada ya kuwasili katika viunga vya Mahakama ya Kisutu alipitiliza moja kwa moja hadi Mahakama ya Watoto iliyopo ndani ya viunga vya Mahakama ya Kisutu.
So what? Acheni kumpa kiki huyo Domondi wenu! Ameshabuma