Kiatu cha Diamond Platnumz chakatika mahakamani

Kiiiruuuu! Hivi kukatikiwa sandal nayo ni habari kumbe!!!!
 
Maalimu sabalaheri.
Yule binti wa usa naona anamdhalilisha sana sheikhe wetu.
Mambo yetu yaleee tunayoyapenda yote yanaandikwa bila aibu.
Sijui twelekea wapi sheikh.
Lakheri sheikh...

Yule sheikh namshauri aje kwa nabii wetu mpendwa Titto. Hakika ya kale yatakuwa mapya sheikh wangu
 
Reactions: SDG
Mkuu umekaa umefikiriaaaa mpaka akili yako ndo ikaishia hapo ukaamua uposti vya Ajabu Sio..! But anyway sio mbaya nakumbuka Nilikuwa O level Mwalimu wangu wa civics aliwai kusema "MJINGA AKITOA WAZO LA KIJINGA YAPASWA KULIHESHIMU WAZO LAKE ILA USILIFUATE" Sio Mimi nimenukuu mkuu
 
Ndio maana ustaa ni mzigo wa miba. Kwa sasa akipanda daladala ni habari, akila kwa mama lishe ni habari. Diamond ni star. Kwa hiyo hata jambo la kawaida ni habari!
🙁🙁Hii nayo habari!!
 

Kwani ww ujawahi kukatikiwa na viatu?
Sasa hapo ni kitu gani cha ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…