Kiatu cha Wazuri Ummy Mwalimu

The Saver

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
202
Reaction score
651


Kusema kweli Ummy Mwalimu Nakupongeza kwa kazi unayofanya unachakalika mpaka kiatu kinachakaa


Hili kiatu sio cha mtu kama wewe wazuri kiatu kimechakaa na vumbi juu sasa kama na wewe umechakaa je watembeza bahasha itakuwaje


Samahani kwa hii thread
 
Huyo aliyesimama nyuma ya Makonda amevaa miwani, sio yule aliyemtolea bastora Nape Nauye baada ya kuondolewa kuwa waziri? Kumbe ni mlinzi wa Bashite!!!
 
Huyo aliyesimama nyuma ya Makonda amevaa miwani, sio yule aliyemtolea bastora Nape Nauye baada ya kuondolewa kuwa waziri? Kumbe ni mlinzi wa Bashite!!!
Unamzunguzia herry kisanduku?
 
Kiatu cha kazi hicho, kuna watu wakifika sehemu flani wanabadirisha viatu ili kuendana na shughuri husika alafu akitoka anatupia kiatu kizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…