Kiatu hiki kipakwe rangi gani?

Kiatu hiki kipakwe rangi gani?

Mtafiti77

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,877
Reaction score
2,314
Habari ndugu watanashati

Leo ninaomba mnisaidie kubaini rangi ya kiatu hiki pichani(Tazama kiambatisho). Mafundi(baadhi) wapaka rangi wetu wababaishaji,wanaweza kukupakia zinazofanana na kuharibu kiatu.

TAHADHARI

Wengi tunaweza kutaja brown,lakini brown zipo nyingi,hii ni ipi?

Aidha, ninaomba kufahamishwa kwa Dar es Salaam wapi ninaweza kupata rangi za viatu OG maana kwa sasa ni majanga. Ukikurupuka viatu vinaharibika.

Mungu awajaalie muendelee kuwa smart
20190912_084144.jpg
 
Viatu vingine vina sura mbaya kama kambale anyway ukome kununua Viatu vya buku 5
Habari ndugu watanashati

Leo ninaomba mnisaidie kubaini rangi ya kiatu hiki pichani(Tazama kiambatisho). Mafundi(baadhi) wapaka rangi wetu wababaishaji,wanaweza kukupakia zinazofanana na kuharibu kiatu.

TAHADHARI

Wengi tunaweza kutaja brown,lakini brown zipo nyingi,hii ni ipi?

Aidha, ninaomba kufahamishwa kwa Dar es Salaam wapi ninaweza kupata rangi za viatu OG maana kwa sasa ni majanga. Ukikurupuka viatu vinaharibika.

Mungu awajaalie muendelee kuwa smartView attachment 1205059
 
Viatu vingine vina sura mbaya kama kambale anyway ukome kununua Viatu vya buku 5

Hahaha! Umenichekesha sana! Wewe utakuwa kwenye kundi la wale wavaa vitu vya kimachinga.Hujui hata kiatu halisi ni kipi.
 
Mpelekee dogo wa mlimani city kwenye lango la kuingilia pale anaijua kazi hadi anakera
1568288112363~2.jpeg
 
Dark tan, light brown
[/QUOTE

Asante sana. Na hapo ndipo ninapochoka na hizo brown, zipo nyingi kiasi ninachanganyikiwa. Ukiacha Dark tan na light brown, kuna tarn yenyewe ,brown na mid brown. Ninahisi mid brown ndo hiyo Light brown.Kibaya zaidi kwa mimi color blind tofauti ni ndogo sana hasa katika hizo zinaishia na brown.

Asante sana,nitaifanyia kazi
 
Back
Top Bottom