Kiatu usipovaa na soksi lazima kinuke

Kiatu usipovaa na soksi lazima kinuke

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Basi tu fashion ya baadhi ya viatu inakufanya usivae soksi ila ukweli usemwe viatu bila soksi Sawa na suruali bila chupi.. Ukivivua lazima tu viteme na pia sio salama unaweza Kupata fangasi miguuni.wengi naona hata siku hizi wanaovaa sendo wanaovaa na soksi.
 

Attachments

  • images (23).jpeg
    images (23).jpeg
    25.4 KB · Views: 4
  • images (24).jpeg
    images (24).jpeg
    22.5 KB · Views: 4
Basi tu fashion ya baadhi ya viatu inakufanya usivae soksi ila ukweli usemwe viatu bila soksi Sawa na suruali bila chupi.. Ukivivua lazima tu viteme na pia sio salama unaweza Kupata fangasi miguuni.wengi naona hata siku hizi wanaovaa sendo wanaovaa na soksi.
Siyo kweli, kunuka ni uchafu wa muhusika pamoja na hizi soksi zinazo babua miguu sikuhizi watu wengi hatuvai soksi kwavile mnatuuzia soksi ambazo ni mbaya mnakera sana
 
Kuna hawa vijana .com naona wanavaa suti na visuruali flani vimewabana, alafu vifupi...... always wanavaa na tuviatu flani tunakua kama kike alafu hawavai na sox mku....😛
 
Toka niachane na mambo ya shuleni miaka iyo sijawai kuvaa socks mwaka wa 10 na zaidi huu ila sijawai pata hata kimoja hapo.
 
Back
Top Bottom