Kiba ampigia debe Diamond

Yawezekana dili la sony kafanikisha diamond so jamaa anashukuru
 
Achana na huyu mfa maji.... Kachochezi ka-bifu haka katoto wewe acha tu, kacheki nyendo zake utagundua sitanii
Nyendo neno pana bro, usimtafutie mwenzio balaa bure...
 
CEO? Wabongo wanachekesha sana, mtu kumiliki keyboard, computer na microphone nne unamwita CEO.
Basi waingiza nyimbo pale Aggrey wote ma-CEO? Kiba ni mlezi wa Chibu kimuziki, Godfather...
 
Hahahaa!!
Ila sku hizi naona mademu wa bongo movie wanakomaa na waimba nyimbo.. Hata madansa au hata katoto kakiwa na tunyimbo tumoja bongo muvi hawaoni shida kupanua upaja
Watu wameanza kupanuliana mapaja zamani sana, bila kujali umaarufu au kazi. Kujali sasa hivi Lisa Bongo Fleva wanaruka na mama wa Bongo Movie ni wivu tu...
Waache wavaa milegezo wajilie vyao, mmewasimanga sana!
 
Mie nashindwa kuelewa akili zenu, watu wakirukana nyie akina nani hadi mpange na kuamua kama hawa wanafaa au la...
Ukipata hela hata ndugu unabadili wakati fulani, kubalini tu kwamba Bongo Movie kuna akina Dada wakali... Na sio Bongo Fleva tu, na wabunge wenu na mawaziri.
Wapi Sadifa?
 

 
Kuna habari mesikia mahali kuwa Kiba ameomba Watanzania wampigie kura Chibu, Baba Tiffah, Nasibu Abduli, Diamond Platinumz, kwenye tuzo Fulani za kimataifa, kwenye Kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio.


 
UGOMVI NI KWA MASHABIKI TU, ALIKIBA NA DIAMOND NI PEACE AND LOVE
 
Kuna habari mesikia mahali kuwa Kiba ameomba Watanzania wampigie kura Chibu, Baba Tiffah, Nasibu Abduli, Diamond Platinumz, kwenye tuzo Fulani za kimataifa, kwenye Kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio.
ALIKIBA AKIMUOMBEA KULA DIAMOND
 
UGOMVI NI KWA MASHABIKI TU, ALIKIBA NA DIAMOND NI PEACE AND LOVE

Safi sana, Ally kajibu vizuri japo kale kadada kashambenga shambenga kalitaka kuchafua hali ya hewa, ila kwa kua KingKiba amejaa busara na hekima, kajibu vizuri tu.

#GoKibaGo#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…