tamadunmusic
Member
- Oct 16, 2015
- 66
- 23
Kiba hana mashabiki,sema wanaomchukia diamond wanafunga mwaka vibaya!!
Daah wamemuandama hao!!!!!!
Inabidi Kiba abadilike maana anaumiza sana washabiki wake
Ha ha ha ha ha.... Mnanipa raha sana ninyi.
Haaaa haaaa! Basi km ni hivo, Diamond anachukiwa na watu wengi kuliko wanaompenda
Raha!! Kipi kinachokupa raha? Sio kila shabiki wa Kiba anamchukia diamond na sio kila shabiki wa diamond hapendi mziki wa Kiba.
Ndiomana nikasema huyo jamaa alichoandika ni opinion na sio fact.
Ingekua ivo tungeona youtube dislikes nyingi kuliko likes,na wala asingekua #msaniiboraafrica
Rabda hujanielewa, ww umesema alikiba hana mashabiki bali ni wale ambao wanamchukia diamond, ss sijui kabla diamond hajaingia kwny game alikiba alikuwa na mashabiki wanaomchukia mb-dog...! Point yng iko hv, ukiongelea wasanii wenye washabiki wengi bongo, ni diamond na alikiba, ss ww kusema wanaomchukia diamond ndo washabiki wa alikiba, na wanaomshabikia alikiba ni wengi, basi lugha nyepesi ni kuwa diamond anachukiwa na watu wengi ndomana alikiba ana washabiki wengi...!
Kueni na subira coming soon.....
Tutaota mvi bureeee
Alikiba anafunga mwaka na Ngoma za Coca-cola 😭😭" mashap
Haaaa haaaa! Basi km ni hivo, Diamond anachukiwa na watu wengi kuliko wanaompenda
😂😂😂😂alisema kiti chake kiko na vumbi!
Sasa yy ndio analeta vumbi kwenye game 😭😭
Majigambo mengine bhana..hivi huyu alidhani anaweza kushindana na mond kweli😄
Iyo sikatai coz kama huna idadi kubwa ya haters bas bado hufanyi vzuri unatania,..Ngoja nione akili yako, kat ya kiba na diamond nani ana mashabiki wengi?