Kiba anaenda kuzimika kama mshumaa katikati ya pepo kali


Hahahahahaha na ww umeComment.
 
Hahahaa kumbe unajua ukwel ila kiburi

Unajua ttz linakuja kwamba kila mtu akiongelea mziki now days mnazani ni kati ya hizo team mbili...! Mm nimechangia comment yako kwakuwa ilinivutia kuijibu kulingana na ilivyokuwa imekaa kichallenge. Bahati mbaya mm ni team tamaduni music so hapo nimechangia km shabiki wa muziki
 
Naomba uagize chochote tafadhali,umenifurahisha sana.
Wewe ni Genius
Period.
 

Rabda=labda
 
Ali Kiba ni kama mshumaa unaofikia mwisho. Wasanii wapya wanamfunika kwa mbaali siku si nyingi atabaki ktk vitabu magazeti ya zamani
 
Anawaumiza sana kichwa huyu Mwana daresalaam,
Daily Kibaa Kibaa Kibaa,

#too much Hate it means Love.

Achana na too much hate, mtu wenu alijilazimisha kunya kwa tembo kilichotokea sasa hahahaha ndio tuna discuss hapa amekuwa kama mkate uliolowekwa kwenye chai...
 
Ila kwel kiuhalisia mashabiki wa alikiba ni wenye chuki binafsi na diamond, cyo fans wa muziki mzur

wewa mbwiga nini nani anachuki na muuza sura? KIBA anatisha kidume cha mbegu
 
Ally kiba alishapotea zamani... upepo wa diamond ukamrudisha huohuo upepo utamrudisha alipotoka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…