tumechoka na storyza kiba humu mr kama zitaendelea kuwepo basi ni bora ni jeshi la mtu mmoja''
Povu kama lote mkuu
Mkuu umeuwa kabisa 100%"majibu yakukera chini ya kivuli cha upole, ustaarabu, privacy"Kiba ni msanii mwenye nyodo,maringo,majivuno,majibu mafupi ya kukera chini ya kivuli cha upole,ustaarabu,privacy
To avoidmbona ujashangaa hawajapewa wachezaji wa simba,yanga azam ama taifa stars akapewa diamond ambaye si mchezaji
Tatizo nyotaWakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product.
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.
Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?
Rejea comment ya NumbisaNnachojua mimi KingKiba hapendi show-off
Kuna tofauti kubwa kati ya mpira kama mchezo na biashara ya mpira, kama ilivyo muziki kama sanaa inayohusisha wasaanii wa muziki na biashara ya muziki ni vitu tofauti.Wakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product.
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.
Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?
mbona ujashangaa hawajapewa wachezaji wa simba,yanga azam ama taifa stars akapewa diamond ambaye si mchezaji
Nje ya uwanja wachezaji wetu wengi si brand kama wasanii wa Muziki hata kwa sie tunaobet hatuwajui ko itakuwa ni sawa tu na kumchukua jamaa mtaani na kumpa tangazombona ujashangaa hawajapewa wachezaji wa simba,yanga azam ama taifa stars akapewa diamond ambaye si mchezaji
Kiba na ruby ndo zao hzoKiba ni msanii mwenye nyodo,maringo,majivuno,majibu mafupi ya kukera chini ya kivuli cha upole,ustaarabu,privacy
Samata alikataa tangazo la Serengeti hata hili la betting angekataa tu haramu wanasemaWameona mondi anaushawishi mkubwa wa kufanya biashara yao iende maana vijana wengi wanamuungalia yeye.Wangekuw wanaangalia nani anajua kucheza mpira wangempa Mbwana Samata mchezaji wa kimataifa
kwamba mtaani hawamjui Nyoni, Yondani, Gadiel, Boxer, Boko,kaseja,mkude,ngasa,Nje ya uwanja wachezaji wetu wengi si brand kama wasanii wa Muziki hata kwa sie tunaobet hatuwajui ko itakuwa ni sawa tu na kumchukua jamaa mtaani na kumpa tangazo
Hata in social media hawana wafuatiliji wa kutosha kitu ambacho ni differ from other artists
Unaacha pesa?Samata alikataa tangazo la Serengeti hata hili la betting angekataa tu haramu wanasema