Kiba anakosea wapi? Inakuwaje yeye ni mcheza mpira ila dili ya soka anapewa Diamond!!??

Kiba anakosea wapi? Inakuwaje yeye ni mcheza mpira ila dili ya soka anapewa Diamond!!??

Wakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product.
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.

Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.

Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?
Tatizo nyota
 
Wakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product.
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.

Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.

Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?
Kuna tofauti kubwa kati ya mpira kama mchezo na biashara ya mpira, kama ilivyo muziki kama sanaa inayohusisha wasaanii wa muziki na biashara ya muziki ni vitu tofauti.

Embu jikumbushe, ilivyotokea kwenye hii movie ya Lion King iliyotayarishwa na kampuni maarufu ya marekani (DISNEY) ambayo ina maudhui ya kiswahili lakini ktk kutengeneza wimbo ama soundtrack wasanii wa Afrika mashariki ambao wangekuwa wawakilishi sahihi hawakuhusishwa badala yake Afrika magharibi ndo imetoa msanii, jambo ambalo ni kinyume na matarajio ya wengi.

Sasa chukua mfano huo husianisha na haya ya Diamond na Kiba, kuna funzo zuri.

Diamond yuko business oriented way far from Kiba, biashara si kipaji ni ujuaji tu.
 
Hata me nlijiuliza mwanzo ila nikiwa naendelea kuisoma hii thread nmekumbuka Alli kiba ni mtu anaejitahidi sana kuheshimu misingi ya dini na kamali kwa mujibu wa dini zetu hususan islamic kamali ni haramu ko hawezi tangaza kitu haramu
 
mbona ujashangaa hawajapewa wachezaji wa simba,yanga azam ama taifa stars akapewa diamond ambaye si mchezaji
Nje ya uwanja wachezaji wetu wengi si brand kama wasanii wa Muziki hata kwa sie tunaobet hatuwajui ko itakuwa ni sawa tu na kumchukua jamaa mtaani na kumpa tangazo
Hata in social media hawana wafuatiliji wa kutosha kitu ambacho ni differ from other artists
 
Wameona mondi anaushawishi mkubwa wa kufanya biashara yao iende maana vijana wengi wanamuungalia yeye.Wangekuw wanaangalia nani anajua kucheza mpira wangempa Mbwana Samata mchezaji wa kimataifa
Samata alikataa tangazo la Serengeti hata hili la betting angekataa tu haramu wanasema
 
Nje ya uwanja wachezaji wetu wengi si brand kama wasanii wa Muziki hata kwa sie tunaobet hatuwajui ko itakuwa ni sawa tu na kumchukua jamaa mtaani na kumpa tangazo
Hata in social media hawana wafuatiliji wa kutosha kitu ambacho ni differ from other artists
kwamba mtaani hawamjui Nyoni, Yondani, Gadiel, Boxer, Boko,kaseja,mkude,ngasa,
 
Yeye si anagawa talaka ovyo.. shauri zake aendelee kugawa talaka wengine wanapiga pesa...
 
Nyie watu achaneni na maisha ya watu tafuteni pesa, haya mambo ya kujadili wanaume mwisho mnaishia kuwa mashoga mbanduliwe.
 
Back
Top Bottom