playboy babu ungekuwa unajibu unachoulizwa ungekuwa ni mchangamshaji mzuri sana wa hili jukwaa,lakini unachoulizwa na unachojibu ni tofauti kabisa badala ya kuwa mchangamshaji
umekuwa kituko cha jukwaa. Unachokijua wewe ni
matusi,kejeri na kwenda nje ya maswali unayoulizwa wakati huo huo unalazimisha maswali yako yajibiwe. Kiba atakuwa juu kwa muziki na juhudi pamoja na maarifa yake na si kwa wewe kuja kutukana hapa ndio kiba awe juu haitatokea wala haijawahi kutokea kwa mtu kufanikiwa bila ya juhudi zake.UMEIPENDA HUJAIPENDA UKWELI NDIO HUU DIAMOND YUPO JUU KWA EAST AFRICA KWA SASA HUTAKI WE ENDELEA KUTUKANA UONE KAMA NAFASI YA DIAMOND ATAKAA KIBA KISA WEWE UNATUKANA HUKU.