Kiba banaa..!!

Umeona kaka ata mm nilimwambia icho kitu kuwa mara nyng huyu jamaa anaenda op anajikuta kujua but Hana kitu kichwani ni ule ubishi wa kijijin wa kilimo kwanza.....anachjua ni matusi msomi wa mkwawa hahahaaa div 5 izi
Huez elewa nnachosema na D zako 4 za certificate ww
 
Hahahahaaaaa kwanza siyo tweeter ni Insta kiaz ww ingia YouTube clip ipo had leo hamfuatilii mambo afu kelele nyiiiiingi pumbav
 
Ndo maana unatoa pumba kumbe unasoma mkwawa ckujua ndo maana nilikuwa nashangaa sana article zako mzazi
Kumbe unajua kama mm mzaz wako eeeh?...so mamako kashakwambia kama nlikula mzigo siyo?..Safi sana binti yangu kwa kujua kwamba me ni mzazi wako.
 
Najibu nnachoulizwa sema tuu hampati majibu mnayotaka nyinyi ndo ishu ilipo Mzee..kichwa changu kina sehemu tatu busara,uchizi na nyingine sitaki kuitaja so the way unakuja ndo utavyoondoka ukija vizur kwa maana ya kufanya serious arguements tutafanya..ukijifanya mwehu ntakuletea uwehu tena first class,inshort utavyokuja ndo utavyoondoka...mtu anasema ningekuwa nafanya nn sijui ningechangamsha jukwaa hahahahaaaaa m not here for that nigga and sorry.. Im not here to make someone happy,nipo kwa sababu zangu mwenyewe either refreshment baada ya mambo yangu na vingine... So ntafanya ntachoona kinafaa kwa wakati unaofaa ukitukana kwann nsikutukane?..ukinkejeli nkuache we nani ?..na ntabaki kuwa shabiki wa muziki mzuri na ntaendelea kukukera kwa kusema nnachokijua na kukiamini and u will never push me out.
 
Utaendelea kuniona nna matus na kejeli mavi ww unaamua kujifanya chizi wengine stimu zetu zimelalia kwa machiz ntakukula ndogo kalio w
Watu hwa wa mikoa mipya wanasumbua sana cjui ndo ushamba wa smart 4n....iv ww jamaa mkigoma nn au from katavi ndani ndan uko maana duuh ka choko Fulani ivi
 
Div 5 zimekuwa nying sana ndo madhara yake haya
 
Watu hwa wa mikoa mipya wanasumbua sana cjui ndo ushamba wa smart 4n....iv ww jamaa mkigoma nn au from katavi ndani ndan uko maana duuh ka choko Fulani ivi
Mkoa mpya Mzee umepatia and this is my first smartphn so acha nkunyime raha bint mrembo
 
Akisema hatoi ngoma mfululizo mnaanzisha thread ya kumponda akisema atatoa ngoma bampa to bampa mnaanzisha uzi mwingine kuhoji mweeeeee sijui aseme nini naamini akisema hatoi ngoma tena utaanzishwa uzi kua ni muoga kweli huwezi kumfurahisha kila mtu.
Ngumu kumfurahisha kila mtu...
 
Duuuh mkuu unapenda sana ligi, hahahaha noma sana... Naona pwilo kakuachia mikoba rasmi...
So umeniquote ili iweje?..unaitafuta hiyo ligi Mzee?..kama vile unasema jamaa yule mbakaji afu unajipeleka simply unataka akubake na ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…