Kiba kawasha moto "RISABELA" Mji mzima unatikisika.

Kiba kawasha moto "RISABELA" Mji mzima unatikisika.

Nimeusikiliza youtube, ameuweka wote, duh kweli vijana siku hizi wanaimba hapana mchezo, nadhani ushindani unachangia, hongera zenu Bongo flavour wote,
 
Sasa Alikiba Umeshindwa hata kuweka link ya hiyo taka taka yako mpya!?!?
Huku Jf hakuna mambo ya kuzimiwa maiki... Weka taarifa vizuri alaaah!
Ni kweli jamaa ana kauzembe flani lakini ukiusikiliza utamsamehe, hajaimba wimbo kama huo kabla,
 
Hii ni nyimbo mpya ya Ali Kiba inaitwa "Risabela" inayotofautisha kabisa bongo flavor na Nigerian music.. Hongera Kiba, naona sasa zile radha halisi za bongo zinaanza kurudi na nafikiri wengine wataiga mfano huu.

= ladha
 
Hiyo ya zamani Sana mbona labda hiyo averina ndo inakaribia kutoka
Aje ya king kibA n nomA
ama ni french girl
niiongee
viens mon amour
je suis quelque du bien
je vais veille sur moi
et toi tu vas veille sur moi
c'est toi mal joie
je ne peux etre content sans toi
je vais veille sur toi
je suis quelque du bien
je vais veille sur moi
et toi tu vas veille sur moi
c'est toi mal joie
je ne peux etre content sans toi
 
Aje ya king kibA n nomA
ama ni french girl
niiongee
viens mon amour
je suis quelque du bien
je vais veille sur moi
et toi tu vas veille sur moi
c'est toi mal joie
je ne peux etre content sans toi
je vais veille sur toi
je suis quelque du bien
je vais veille sur moi
et toi tu vas veille sur moi
c'est toi mal joie
je ne peux etre content sans toi
Hakuna ki France cha hivyo wewe
 
Kiba akisubiri kutoka nyuma ya modi atasubiri sana yule mtoto wa tandale anajua
 
mbona hiyo ilikua you tube toka mda? nilisilikia ni ya abbyskills ila sijui!
imetulia sana
Hiyo ni mpya kabisa na haijatoka officially, tafuta vionjo vyake YouTube, andika tu "Risabela" itakuja kwani ina viewer wengi sana hapatoshi.
 
Back
Top Bottom