Kiba & Mondi wapo pamoja studio

Utaanzaje 3 hata moja hukuanza!!!
Alikuwa ana waleta kwanza kwenye level za Ali Kiba halafu ata wapandisha.
We subiri utayaona hayo, hata yeye hakuwa msanii wa kimataifa ghafla ghafla tuu
Kashawafikisha katika hiyo Level ya Ali kiba?
 
Hata hawapo pamoja kwa vile vijembe vya mondi anavyojiona sidhani anamuona alikiba kama yuko down sana wakati alikina ma bob junior ndo wamemtoa
 
Mkuu Iceman 3D ,unawaona team kibakuli washaanza kutoa mapovu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hasa wanapanic nini wakati ni kweli, domo yuko ki international zaidi.
Kama show za Mombasa hata Rich Mavoko huwa ana anaenda
 
Pumba tupu,kwanza akamsaidia yule dogo aache kuimba kama yeye.
Sioni kama ni pumba, semeni tuu mna kereka nimesema mondi amtoe Kiba.
Kumbuka hata huku ndani Kiba alipotea kpindi flani hivi lakini alirudi kwa kutumia jina la Mondi(hilo linajulikana).

Kwa hiyo huyo huyo Mondi anaweza kumpaisha na nje pia

*Kiba bado ni msanii mzuri na mkongwe sanaa
 
Kumbe alikua underground ?? ...underground ambae amepewa heshima ya kua mmoja wa perfomers watakaoperform tuzo za MTV MAMA kule johanesburg
Mkuu Domo alisha perfom toka 2014 na ana tuzo ya MTV MAMA tayari, sasa utasema domo ni nani!! kama huyu ku perfom tuu, tena mwaka huu imekuwa kelele!!!
 
Nasikia yule jamaa aliyemuimba alimroga.
 
Mkuu Domo alisha perfom toka 2014 na ana tuzo ya MTV MAMA tayari, sasa utasema domo ni nani!! kama huyu ku perfom tuu, tena mwaka huu imekuwa kelele!!!
Sio kelele bali kusema diamond anataka kumtoa kiba mda huu ukimanisha kwamba kiba bado ni underground?? hahah mpunguze munkari waachen wafanye hio colabo kila mtu ana heshima yake na kwa nafasi yake kimuziki.
 
Halafu watu hawa hawajui wanawashindanisha Domo na kiba kwa lipi?
 
Sio kelele bali kusema diamond anataka kumtoa kiba mda huu ukimanisha kwamba kiba bado ni underground?? hahah mpunguze munkari waachen wafanye hio colabo kila mtu ana heshima yake na kwa nafasi yake kimuziki.
Nimesema amtoe kimataifa, kwa kuwa kolabo yao ikifanyika itamtangaza zaidi Kiba kuliko Domo, Domo asha imba na AKA,na P-Square sasa kuimba na Kiba kuta mpeleka wapi!!?
Nimeongea ukweli ila nilijua kuna watu uta waumiza.
*Kiba si msanii mbaya ila Kiba pia bado hajatoboa kama alivo toboa Domo.

Ukweli mchungu ila ndio tu ukubali
 
Photoshop hyo achen uhuni....Ali kiba hawez Fanya huo undezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…