Kiba tena 1 on trending

Hiyo ni Tanzania vipi kwa East Africa nzima maana Zilipendwa ilikua #5 Uganda na #1 Kenya. Na hapa ndo mtajua nani wa kimataifa
 
Kamanda bingi na hiyo ndiyo raha ya ushindani...Diamond naye atafute an online diva like Mange ili kumpromote!
Ila mwisho wa siku mziki wa Bongo unafika mbali...regardless ni kiba au mondi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…