Kiba tena 1 on trending

Tunawapotosha wasanii..
Tunawaaminisha kuwa kilicho bora ni kile kilichotazamwa sana..
Hatuwafanyi wafikiri kwamba ubora unaanzia kwenye kuandika mpaka studio, then kwa director. Huko vevo kuwe ni matokeo tu ya kazi bora...
Inasikitisha sana..
Content ya wimbo haiangaliwi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…