mtani nasubiria wimbo wenu mpya mwezi ujao.. alikiba sio mtu wa mchezo mchezo.. hapendi ujinga..Hahahahaha mtani inamaana hujui kuwa Salome iko namba moja kila kona ya Africa! Acha masihara mtani..
YoooohYaaaaaaaaaah
Mali ni nyingi nyumbani hahaaaaa
Nisamehe vipi video imeshatoka?Team domo katika harakati za kujikwamua na mchujo wa mapema wa nyimbo zao!
we ni jane lowasssa mwnyw nkupe shkamooooo?Kile kisauti nakipendaje. Yaaaaaaaaaaaaaa
Kila mtu na vionjo vyake yy hajazoea kutoboa pua na kuvaa heren, so mwache afanye kazi ipasavyo na ingekua inaboa bs basata wangeshafunga izo nyimbo zake. Yaaaaaaaaaaaaaah!!Sijajua huo ni ukunga au ni jingle yako kwny kila wimbo.... Usipopayuka "yaaaaah" nyimbo inakuwa nzuri... Ona nyimbo yako ya AJE hujapayuka kidogo ina afadhali lkn mpayuko wako kwny Mapela na Chekechua uliharibuu na Sautisol wamesema huo mpayuko uliharibu kwny wimbo wao.
Mshazoea kila afanyacho msanii kianikwe hao wanaofanya ivyo ni rimbukeni ila kwa mtu kama yy na anajielewa hawezi anika kila kitu na mtabaki mkijua anaishi kwa wazazi mpk kufa kwenu. Yaaaaaaaaah!!Yooooh
Miaka 30 kuishi kwa wazazi ni aibu sana
Haaah sasa maana ya kuwa celeb n nn unadhan kibakuli hapendi kuwa na kwake , kumiliki label yke na band ykeMshazoea kila afanyacho msanii kianikwe hao wanaofanya ivyo ni rimbukeni ila kwa mtu kama yy na anajielewa hawezi anika kila kitu na mtabaki mkijua anaishi kwa wazazi mpk kufa kwenu. Yaaaaaaaaah!!