July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Mkuu yakitimia hayo nitakuwa ni mtu mwenye furaha kuliko wewe maana baada ya kile kichapo kukishuhudia kwa macho yangu sikuweza kupata usingizi wa maana kwa muda wa siku 3 mfululizo, kila nikilala nilikuwa nawaona Barthez na Manula wakiokota mipira nyuma ya goli letu. Tangu nimezaliwa nilikuwa sijakutana na kipigo cha 7-0 kwa timu ninayoipenda na ninayoishabikia. Mikia walipotupiga 5-0 walijidai sana kumbe kuna wanaume wanpiga 7-0!
...Somalia iko nafasi ya mia mbili sijui na ngapi uko; vitu vingine bora kukaa kimya tu...