Kibadeni in Action: Kili Stars 4-0 Somalia

Kibadeni in Action: Kili Stars 4-0 Somalia

Mkuu yakitimia hayo nitakuwa ni mtu mwenye furaha kuliko wewe maana baada ya kile kichapo kukishuhudia kwa macho yangu sikuweza kupata usingizi wa maana kwa muda wa siku 3 mfululizo, kila nikilala nilikuwa nawaona Barthez na Manula wakiokota mipira nyuma ya goli letu. Tangu nimezaliwa nilikuwa sijakutana na kipigo cha 7-0 kwa timu ninayoipenda na ninayoishabikia. Mikia walipotupiga 5-0 walijidai sana kumbe kuna wanaume wanpiga 7-0!

kwa mara ya kwanza algeria katufunga,miaka yote imekua droo ispokua katkat ya tisin tuliwapga vizuri tu,na hzo droo zote wao ndo huchomoa
 
...Somalia iko nafasi ya mia mbili sijui na ngapi uko; vitu vingine bora kukaa kimya tu...
 
...Somalia iko nafasi ya mia mbili sijui na ngapi uko; vitu vingine bora kukaa kimya tu...

Hivi Mkuu unatambua kuwa Uganda yuko nafasi ya 68 na kafungwa na Kenya iliyo nafasi ya 125? Tofauti ya rankings hapo ni 57. Je, unafahamu kuwa Tanzania tuko nafasi ya 135 na Somalia iko nafasi ya 203? tofauti ya rankings ni 68. Je huoni kuwa kama Kenya aliye nyuma mbali ya Uganda kampiga goli 2-0, unadhani sisi tunayo kinga ya kutofungwa na timu kama Somalia iliyopo nafasi ya 203?

Reference: The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table - FIFA.com

Hongera Kili Stars kwa kazi nzuri.
 
Back
Top Bottom