Elections 2010 kibaha kwalipuka! wamechakachua

Jamani hii ni kazi na hivi sasa watu wamesikia kua kila sehemu watu ukizingua tu ni au kuchakachua ni vurugu sasa CCM wana kazi ngumu nafikiri na ujumbe sasa wameupata kuwa watu wamechoka na upuuzi wao ambao wameuzoe.
 

Huyu Selemani lugha yake inafanana fanana na lugha ya yule bwana GT aliyetoweka hapa janvini; sintashangaa kama huyu ni nduguye!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…