DOKEZO Kibaha: RUWASA yakataza kijiji kutumia maji ya kisima kwa zaidi ya miezi miwili

DOKEZO Kibaha: RUWASA yakataza kijiji kutumia maji ya kisima kwa zaidi ya miezi miwili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].[emoji419][emoji375]
Awa jamaa wa kusomea alubadili
 
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha, wananchi kijiji cha misufini wilaya ya kibaha wamezuiwa na RUWASA kutumia maji ya kisima walichochimba kwa nguvu zao wenyewe kisa RUWASA kutaka kuingiza kisima hicho kwenye mradi wa maji vijijini.

Kisima hicho ambacho kilishaanza kuwanufaisha wanakijiji hao kwa zaidi ya miezi 6 kilikuwa pia kinahudumia wanafunzi wa shule ya msingi misufini pamoja na zahanati mpya iliyoanza kazi mwishoni mwa mwaka jana.

Kwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].

Wakati mama Samia anahangaika kupambana wanachi wapate huduma, kuna viongozi wanakwamisha makusudi maendeleo.

@dawasco
Wizara Maendeleo ya Jamii
Mkuu, tuweke Kumbukumbu sawa. Mlichimba wenyewe au Wafadhiri ndo waliwachimbia maji?

Je, Makusanyo ya Maji nani anapokea hela, RUWASA au wenyewe Wanakijiji? Kama Wanakijiji, Mwezi mnakusanya kiasi gani?

Je, Kijiji chenu kimejiunga na Jumuia za Maji vijijini? Nani anapima Usalama wa maji?
 
Kwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].[emoji419][emoji375]
Mmh! Makubwa. Ushaambiwa mleta mada ni muongo kadanganya.
 
Mkuu, tuweke Kumbukumbu sawa. Mlichimba wenyewe au Wafadhiri ndo waliwachimbia maji?

Je, Makusanyo ya Maji nani anapokea hela, RUWASA au wenyewe Wanakijiji? Kama Wanakijiji, Mwezi mnakusanya kiasi gani?

Je, Kijiji chenu kimejiunga na Jumuia za Maji vijijini? Nani anapima Usalama wa maji?
Sheikh, kisima tulichimba kwa ushirikiano kati ya kijiji na mfadhili (mtu binafsi na sio serikali), kijiji kikitowa eneo, nguvu kazi kiasi, baadhi ya matirio na kikiendesha mradi kwa gharama zake.

Kabla ya kusimamishwa, makusanyo yalikuwa yakichukuliwa na mwenyekiti ya kijiji na fedha kuingizwa kwenye mfuko wa kijiji (japo taarifa za mapato haya hazipo wazi sana).

Ndipo sa ghafula tukapokeya taarifa kutoka kwa uwongozi wa kitongoji kuwa ruwasa wamezitisha mradi.
 
Back
Top Bottom