Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 776
- Thread starter
-
- #21
Awa jamaa wa kusomea alubadiliKwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].[emoji419][emoji375]
Ok nimekusomaSoma kuelewa, usisome kumaliza maandishi tu.
Umeambiwa wamekihodhi ili kiwe sehemu ya mradi wao, hayo mambo ya kupima maji umeyatoa wapi?
Kwa hichi kipindi mlichofungiwa wamekufa wangapi?Sheikh tutakufa. Maabara ya zahanati ya kijiji haina maji
bado sheikh, Mwenyezi Mungu anatupitishia mbali. Ila hali ni mbaya sana, hasa kina mamaKwa hichi kipindi mlichofungiwa wamekufa wangapi?
Mkuu, tuweke Kumbukumbu sawa. Mlichimba wenyewe au Wafadhiri ndo waliwachimbia maji?Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha, wananchi kijiji cha misufini wilaya ya kibaha wamezuiwa na RUWASA kutumia maji ya kisima walichochimba kwa nguvu zao wenyewe kisa RUWASA kutaka kuingiza kisima hicho kwenye mradi wa maji vijijini.
Kisima hicho ambacho kilishaanza kuwanufaisha wanakijiji hao kwa zaidi ya miezi 6 kilikuwa pia kinahudumia wanafunzi wa shule ya msingi misufini pamoja na zahanati mpya iliyoanza kazi mwishoni mwa mwaka jana.
Kwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].
Wakati mama Samia anahangaika kupambana wanachi wapate huduma, kuna viongozi wanakwamisha makusudi maendeleo.
@dawasco
Wizara Maendeleo ya Jamii
Mmh! Makubwa. Ushaambiwa mleta mada ni muongo kadanganya.Kwa sasa kisima hicho kimefungwa zaidi ya miezi miwili na hatma ya lini kitawanufaisha wanakijini ipo chini ya maamuzi binafsi ya RUWASA japokuwa hawajahusika kutoa ata senti moja kugharamikia uchimbaji wa kisima hicho. Jambo kama hili utaliona Tanzania tuu [emoji3].[emoji419][emoji375]
Sheikh, kisima tulichimba kwa ushirikiano kati ya kijiji na mfadhili (mtu binafsi na sio serikali), kijiji kikitowa eneo, nguvu kazi kiasi, baadhi ya matirio na kikiendesha mradi kwa gharama zake.Mkuu, tuweke Kumbukumbu sawa. Mlichimba wenyewe au Wafadhiri ndo waliwachimbia maji?
Je, Makusanyo ya Maji nani anapokea hela, RUWASA au wenyewe Wanakijiji? Kama Wanakijiji, Mwezi mnakusanya kiasi gani?
Je, Kijiji chenu kimejiunga na Jumuia za Maji vijijini? Nani anapima Usalama wa maji?