Kibaigwa; Muokoeni mtoto Filemon anayeteswa na mama yake

Na hao majiran ni wauaji kwa nn vitendo Kama hivyo vinatokea wasiripoti police
 
Upo karibu mkuu na hapo kwenye tukio? Au ulipita unaishi maeneo tofauti? Kama upo hapo toa maelekezo zaidi yakuweza kufika apo ili mtoto apate msaada..... kuna mdau ameomba location yako akupitie muende pamoja toa ushirikiano mkuu!!!!
 
Mi siamini kama ni mama yake mzazi
 
Sawa mkuu,
Hata hivyo umefanya vyema kupost humu.
Natumai wapo watu wana connection zitakazosaidia mtoto Filemon kupata msaada.
Kuna wakati kulikuwa na taasis fulani ilikuwa na uzi wake humu na namba ya dharura ya kuripoti matukio ya unyanyasaji watoto.

Tatizo sikumbuki jina la ule uzi wala ile namba.
 
Duuh nimehizunika sana kwa akili zangu mimi ningemchukiua huyo mtt hadi kituo cha police na kumpeleka hospital kama mbwai mbwai yani ninge nunua kesi!
 
Sasa ndio umefanya Nini he ukipita siku ukasikia amekufa kwa kipigo kikali utakua na amani kweli moyoni mwako???
 
Toa anuani kamili mkuu
Kama una nia mbona anuani hiyo inatosha sana mkubwa!!?

Nimekwambia Mbagala-Kibaigwa-Kongwa-Dodoma... ni Kaskazini mwa soko la mboga na matunda la Kibaigwa fika huko uliza details hizo utampata tu mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…