Kibajaji hata akijipendekeza kumtukana Bashiru, Mtera harudi tena 2025

Kibajaji hata akijipendekeza kumtukana Bashiru, Mtera harudi tena 2025

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.

Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.

Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
 
Huyu mbunge wa Mtera Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wanmemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.

Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025. Lemutuz atashinda kura za maoni.

Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
ATAPEWA VILE VITI VYA KINA HALIMA MDEE NA WENZAKE
 
Kibajaji harudi bungeni hata apige zumali vipi makamu mwenyekiti ana mpango wa kufuta kabisa wenye vinasaba na JPM
 
Huyu mbunge wa Mtera Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wanmemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.

Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.

Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
Hivi jina lake la mbele ndiyo "Ashki-majinuni"?
 
Huyu mbunge wa Mtera Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wanmemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.

Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.

Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
Na huu ndiyo uzwazwa wa Watanzania wengi.

Mtu kama Kibajaji amewahi kuleta tija gani kwenye siasa za Nchi? Kwa hiyo sababu ya yeye kuwepo Bungeni ni namna anavyoweza kuwa karibu na mtawala?

Tuna ujinga mwingi sana wabongo
 
Na huu ndiyo uzwazwa wa Watanzania wengi.

Mtu kama Kibajaji amewahi kuleta tija gani kwenye siasa za Nchi? Kwa hiyo sababu ya yeye kuwepo Bungeni ni namna anavyoweza kuwa karibu na mtawala?

Tuna ujinga mwingi sana wabongo
Inawazisha sana kwa kweli
 
Kibajaji yuko bungeni kimkakati. Kuvuruga hoja, kutukana wenye hoja nzito, kuchekesha watu na kuwa mtukanaji mkuu kwa niaba ya kiongozi aliyeko madarakani
Yes Msukuma na Kibajaji wako bungeni kama wafanyakazi wasio na taalum wasiochagua kazi...ikija kuzibua vyoo wao, kufagia uwanja wao, kufyeka nyasi wao.
Kimsingi wapo pale kuelekezwa cha kusema yaani kufuta hoja makini zisizopendwa na wakuu.

Jambo ambalo mwenye heshima zake hawezi kulifanya.
 
Huyu mbunge wa Mtera Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wanmemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.

Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.

Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
Unajua uwezo wa kufikiria wa wabongo wengi umekuwa mdogo sana.Yaan sijui kuna tatizo gani vichwan kwenu?Yaan mnatuaminisha kuwa Kikwete,et al ni miungu watu.Yaan wao ndio wenye kila kitu.Yaan wanaweza kukuua muda wowote.Yaan wao upanga nani awe mbunge.Mm sidhani kuwa wana uwezo huo.Tukianza kuwapa uwezo huo basi,uwezo wetu wa kufikiria utakuwa umekwisha kabisa.Tutakuwa hatutumii akili kufikiria.Labda ni kwambie,Mwenyezi Mungu ndio muamuzi wa kila Jambo hapa Duniani.Anaweza kuamua chochote mpaka ukashangaaa.Na hao unaowafanya kuwa ni Miungu mitu muda wao ni mchache sana .Kila Jambo la uovu lina mwisho wake.Aidha kwa akili tu ya kawaida ,kibajaji anakubalika sana jimboni kwake.Akiwa chama chochote anashinda.Na kuwa mbunge.
 
Back
Top Bottom