Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu na Musiba hawana tofautiHuyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.
Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.
Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
Mnafiki huwa hana ufuasi wa kudumu. Yeye kwake anaangalia maslahi ya wakati huo.Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.
Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.
Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
Anakubalika na wajinga siku ujinga ukiisha hawawezi mpa hata kura moja.Unajua uwezo wa kufikiria wa wabongo wengi umekuwa mdogo sana.Yaan sijui kuna tatizo gani vichwan kwenu?Yaan mnatuaminisha kuwa Kikwete,et al ni miungu watu.Yaan wao ndio wenye kila kitu.Yaan wanaweza kukuua muda wowote.Yaan wao upanga nani awe mbunge.Mm sidhani kuwa wana uwezo huo.Tukianza kuwapa uwezo huo basi,uwezo wetu wa kufikiria utakuwa umekwisha kabisa.Tutakuwa hatutumii akili kufikiria.Labda ni kwambie,Mwenyezi Mungu ndio muamuzi wa kila Jambo hapa Duniani.Anaweza kuamua chochote mpaka ukashangaaa.Na hao unaowafanya kuwa ni Miungu mitu muda wao ni mchache sana .Kila Jambo la uovu lina mwisho wake.Aidha kwa akili tu ya kawaida ,kibajaji anakubalika sana jimboni kwake.Akiwa chama chochote anashinda.Na kuwa mbunge.
Mimba apigwe mwingine kichefuchefu wasikie wengine......Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.
Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.
Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
NDIOMimba apigwe mwingine kichefuchefu wasikie wengine......
Kama ame dance na tune Kuna shida gani?Huyu mbunge wa Mtera bwana Livingston Lusinde ana kiherehere sana. Ila analiwa timing. Asidhani Kinana, Mkwere, Nape, Makamba sr &jr pamoja na Membe wamemsahau. Enzi za Jiwe aliwatukana sana kwa kujipendekeza jinsi anavyojipendekeza sasa hivi kumtukana Bashiru.
Ana kiherehere na kujipendekeza sana. Analiwa timing. Na sasa hivi hata ajipendekeze vipi harudi bungeni 2025.
Mdomo ulimponza Hapi na huyu yuko njiani.
LemutuzKama ame dance na tune Kuna shida gani?
Nani wa kumtoa Kibajaji pale mtera?