Kibajaji kimeniponza...

hahahahaaa pole aisee nimejikuta naangalia avatar yako nikapata picha ulivomgonga aliyekuchomekea bila ruhusa yako.
Good day best.

watu wengine wanakera sana, mtu badala ya kukuomba kupita yeye anajidai kuchomeka. hata akaogopa kwenda kwa trafic
 
Kula dili ili utolewe polisi ni mchepuko haswaaaaa!!! ungebaki njia kuu uone mwisho wake...
Hepuka kchepuka chepuka!!
 
Kula dili ili utolewe polisi ni mchepuko haswaaaaa!!! ungebaki njia kuu uone mwisho wake...
Hepuka kchepuka chepuka!!

mume wangu alishaniasa kuchepuka barabarani, ila aliniambia naweza kuovateki iwapo mbele ni salama. Mie sikuchepuka ni askari ndo walinichepusha njia kuu na kunipeleka kituoni
 
watu wengine wanakera sana, mtu badala ya kukuomba kupita yeye anajidai kuchomeka. hata akaogopa kwenda kwa trafic

heheheee ila punguza hasira babaa si unajua barabarani sio wote ni madereva, wengine wameshilia usukani tuu ni mazombie
 
ya mungu mengi
tenda wema nenda zako
lets assume usingempisha afu hao waporaji wana silaha za moto...unadungunyuliwa la kipanda uso afu still wanapita..:evil:
Yaani niliwaza hivo nikaona hawa polisi nao wanaweza kuwa na hasira ya kuwakosa wanaowatafuta sasa mie nikawa chambo wakaninasua na kusuka ripoti zao wakati mie ubwabwa bado naupenda nikawa mpole tuu na kufata maagizo yao kuokoa uhai wangu mmmh dunia hii
 

Yaani wanakwambia tuu mama erekea kituo cha porish ukaandikishe maerezo kwa nini umeriruhusu rijambazi kutoroka, utasema mimi ndonilitakiwa kuwazuia.
Heeeeh ningethubutu kuwauliza hilo swali wangesha niulimboka mara moja na saa hii msingeniona tena humu jamvini looh
 

Hawa ndio police wetu wa UPE.....Upolisi Pasipo Elimu.
 
Pole sana mama!
 
Umefanya kosa sana
 
Umefanya kosa sana kuongozana nao, haujavunja sheria wala haujasaidia wezi. How if gari lako lilizima wakakupita, vipi kama haukuwa na haraka je kuna sheria ya kukulazimisha usimpishe mgu? Je hao polisi walitangaza kuna vibaka msipishe mtu njia. Walikuona ni mpole hivyo uzembe wao wakakuangushia wewe. Next time wala usiende na hawatakufanya lolote hata wakija na kifaru. Pikipiki wamepewa za nn
si
 
Pole na majanga best, but co uwe mgum xana due to yalikukuta hapana fairplay brbrn ni za jawaida cha msingi angalia usalama wako nice a'noon,
 
afu ili mbona kama lile tangazo la kibonde kuhusu hiv....hauna kosa mama acha uoga sema michepuko ni noma na usiwe unaruhusuruhusu watu wapite ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…