yani avata🙂r yako..jina lako...na comment zako....zinafanana kama machungwa..lol
hahahahaaa pole aisee nimejikuta naangalia avatar yako nikapata picha ulivomgonga aliyekuchomekea bila ruhusa yako.
Good day best.
Kula dili ili utolewe polisi ni mchepuko haswaaaaa!!! ungebaki njia kuu uone mwisho wake...
Hepuka kchepuka chepuka!!
watu wengine wanakera sana, mtu badala ya kukuomba kupita yeye anajidai kuchomeka. hata akaogopa kwenda kwa trafic
hahaa basi mie nilivosoma nikahisi labda umemaanisha hivo....
Yaani niliwaza hivo nikaona hawa polisi nao wanaweza kuwa na hasira ya kuwakosa wanaowatafuta sasa mie nikawa chambo wakaninasua na kusuka ripoti zao wakati mie ubwabwa bado naupenda nikawa mpole tuu na kufata maagizo yao kuokoa uhai wangu mmmh dunia hiiya mungu mengi
tenda wema nenda zako
lets assume usingempisha afu hao waporaji wana silaha za moto...unadungunyuliwa la kipanda uso afu still wanapita..:evil:
Ukweli wa habari nauona na ikizingatia police wetu walivyo wababe na elimu zao za kusindikiza darasani sina budi kukupa pole kwa kadhia iliyokupata. Ila vp uliwauliza kama hiyo bajaji iliandikwa....SISI NI MAJAMBAZI TUNAWAKIMBIA POLICE??????????????? naamini hapo ungekuwa msitu wa pande japo swali linajieleza.
Yaani wanakwambia tuu mama erekea kituo cha porish ukaandikishe maerezo kwa nini umeriruhusu rijambazi kutoroka, utasema mimi ndonilitakiwa kuwazuia.
Heeeeh ningethubutu kuwauliza hilo swali wangesha niulimboka mara moja na saa hii msingeniona tena humu jamvini looh
Bora sisi waenda kwa miguu!:msela:
Pole sana mama!They were so hash and rude sikuweza ongea nao zaidi ya kuwasikiliza maana huwa napandwa na hasira sana pale ninapomueleza kitu halafu mtu hanielewi huwa naogopa sana kumjibu mtu vibaya, hayo yote niliwaeleza ila wlitaka nielekee kituoni kwa maelezo nilipoona wananiletea mizengwe ndo nikafanya mawasiliano walipoona oda inatoka juu ndo wakaanza mama pole, ila sku ingine usiwapishe usiowajua na maneno kibao mie huku nimefyum nikaingia zangu kwenye gari motoo home.
Pole sana mama!
heheheee ila punguza hasira babaa si unajua barabarani sio wote ni madereva, wengine wameshilia usukani tuu ni mazombie
sawa mama, ntafanya hivyo
Umefanya kosa sanaJana natoka zangu ofisini jioni hii niko kwenye foleni, dereva kibajaji kaja na abiria wake 3 wanaume kawapakia kwa nyuma.
Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani alikuwa anachepuka kando ya njia na hapo kamuona trafiki so anataka kurudi nia kuu asikamatwe au asipigwe bao.
Mie bana dereva sina roho mbaya nikaita fair play maana kesho naweza kutanua mie nikamuomba kumchomekea atanipisha, hivyo nikampisha magari yaliposogea akaingia njia kuu. Baada ya bajaji kuingia njia kuu akajipenyeza upande wa kushoto yule kaingia mtaani akasepa.
Mie nikaendelea na foleni langu njia kuu maana husband alishanionya kuchepuka barabarani sio tuu nitasababisha ajali bali pia navunja sheria hivo nilitulia.
Sijakaa sawa nawaona voda fasta hawa hapa wakanigongea kioo wakiashiria nifungue kioo nikafungua wakasema mama ongoza gari kituo cha polisi, nikashangaa nimefanya yepi? wakasema umemsaidia yule dreva wa bajaji kutoroka na sie tumeweka foleni ili kuwablock wameiba hela kwenye bureu de change moja ya mhindi heee mie hata sikuwaelewa vizuri nikabaki nawashangaa mara kikaja king'ora na maaskari mama ongoza njia .
Yalitokea kibao huko kituo cha polisi thank God baba mkwe yuko a bit top huko juu ndo nikatoka baada ya mawasiliano kadhaa kufanyika yaani nilichoka kabisa na tukio lililonikuta khaaaa!
Je ningekuwa sina ninayemjua huko juu si ungekuta niko segerea.... naenda kwenye debe daaaah hadi sasa nawaza sipati jibu.
Hakiamama ukikutana na mimi barabarani usiniombe kunichomekea wala sikupishi aiseee.., be aware mtu usiyemjua anaweza kukuletea matatizo.
Umefanya kosa sana kuongozana nao, haujavunja sheria wala haujasaidia wezi. How if gari lako lilizima wakakupita, vipi kama haukuwa na haraka je kuna sheria ya kukulazimisha usimpishe mgu? Je hao polisi walitangaza kuna vibaka msipishe mtu njia. Walikuona ni mpole hivyo uzembe wao wakakuangushia wewe. Next time wala usiende na hawatakufanya lolote hata wakija na kifaru. Pikipiki wamepewa za nnJana natoka zangu ofisini jioni hii niko kwenye foleni, dereva kibajaji kaja na abiria wake 3 wanaume kawapakia kwa nyuma.
Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani alikuwa anachepuka kando ya njia na hapo kamuona trafiki so anataka kurudi nia kuu asikamatwe au asipigwe bao.
Mie bana dereva sina roho mbaya nikaita fair play maana kesho naweza kutanua mie nikamuomba kumchomekea atanipisha, hivyo nikampisha magari yaliposogea akaingia njia kuu. Baada ya bajaji kuingia njia kuu akajipenyeza upande wa kushoto yule kaingia mtaani akasepa.
Mie nikaendelea na foleni langu njia kuu maana husband alishanionya kuchepuka barabarani sio tuu nitasababisha ajali bali pia navunja sheria hivo nilitulia.
Sijakaa sawa nawaona voda fasta hawa hapa wakanigongea kioo wakiashiria nifungue kioo nikafungua wakasema mama ongoza gari kituo cha polisi, nikashangaa nimefanya yepi? wakasema umemsaidia yule dreva wa bajaji kutoroka na sie tumeweka foleni ili kuwablock wameiba hela kwenye bureu de change moja ya mhindi heee mie hata sikuwaelewa vizuri nikabaki nawashangaa mara kikaja king'ora na maaskari mama ongoza njia .
Yalitokea kibao huko kituo cha polisi thank God baba mkwe yuko a bit top huko juu ndo nikatoka baada ya mawasiliano kadhaa kufanyika yaani nilichoka kabisa na tukio lililonikuta khaaaa!
Je ningekuwa sina ninayemjua huko juu si ungekuta niko segerea.... naenda kwenye debe daaaah hadi sasa nawaza sipati jibu.
Hakiamama ukikutana na mimi barabarani usiniombe kunichomekea wala sikupishi aiseee.., be aware mtu usiyemjua anaweza kukuletea matatizo.
afu ili mbona kama lile tangazo la kibonde kuhusu hiv....hauna kosa mama acha uoga sema michepuko ni noma na usiwe unaruhusuruhusu watu wapite ovyoJana natoka zangu ofisini jioni hii niko kwenye foleni, dereva kibajaji kaja na abiria wake 3 wanaume kawapakia kwa nyuma.
Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani alikuwa anachepuka kando ya njia na hapo kamuona trafiki so anataka kurudi nia kuu asikamatwe au asipigwe bao.
Mie bana dereva sina roho mbaya nikaita fair play maana kesho naweza kutanua mie nikamuomba kumchomekea atanipisha, hivyo nikampisha magari yaliposogea akaingia njia kuu. Baada ya bajaji kuingia njia kuu akajipenyeza upande wa kushoto yule kaingia mtaani akasepa.
Mie nikaendelea na foleni langu njia kuu maana husband alishanionya kuchepuka barabarani sio tuu nitasababisha ajali bali pia navunja sheria hivo nilitulia.
Sijakaa sawa nawaona voda fasta hawa hapa wakanigongea kioo wakiashiria nifungue kioo nikafungua wakasema mama ongoza gari kituo cha polisi, nikashangaa nimefanya yepi? wakasema umemsaidia yule dreva wa bajaji kutoroka na sie tumeweka foleni ili kuwablock wameiba hela kwenye bureu de change moja ya mhindi heee mie hata sikuwaelewa vizuri nikabaki nawashangaa mara kikaja king'ora na maaskari mama ongoza njia .
Yalitokea kibao huko kituo cha polisi thank God baba mkwe yuko a bit top huko juu ndo nikatoka baada ya mawasiliano kadhaa kufanyika yaani nilichoka kabisa na tukio lililonikuta khaaaa!
Je ningekuwa sina ninayemjua huko juu si ungekuta niko segerea.... naenda kwenye debe daaaah hadi sasa nawaza sipati jibu.
Hakiamama ukikutana na mimi barabarani usiniombe kunichomekea wala sikupishi aiseee.., be aware mtu usiyemjua anaweza kukuletea matatizo.