Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
- Thread starter
- #41
Mkuu watu8 na mimi nimerudia kusoma sijaona popote ambapo Mkunde Original alifanya kosa lililostahili apelekwe kituoni
Hakuna sehem yoyote alisikia tangazo kuwa kuna majambazi yanafukuzwa na polisi so waendesha magari wasiwapishe
Yeye aliwapisha waendesha bajaji hao kama raia mwema sasa huko kuja kuambiwa amewaruhusu eti kupita majambazi sioni hao polisi walikuwa na uhakika gani kama mkunde original alikuwa anawajua kuwa ni majambazi
Yaani ilikuwa kama muvi vile ila ndo ivo thanks God nilirudi home salama