Kibaka Ajaribu Kuchomoka na Zawadi za Harusi ya Mtoto wa Sumaye

Kibaka Ajaribu Kuchomoka na Zawadi za Harusi ya Mtoto wa Sumaye

Mtu na shemeji yake (Yo Yo en Masa)
Oeni na nyie tuje kuwachambua hapa vimwana wenu, isije ikawa mna flatscreen hamjijui..ha ha
ila nasikia kuna booty za wachina......ulieshawahi kuona wapi totozi za kisukuma iko flat back side?
 
ila nasikia kuna booty za wachina......ulieshawahi kuona wapi totozi za kisukuma iko flat back side?

Chinene wako hivyo ila miguu mizuri. Mambo ya sukuma land, ladies wengi ni giants ndo ninachojua..Kumbe na wewe ni wa Busanda?!Thikujua.

@Huyo bwana harusi ndo alivyo ama make-up kwenye hiyo siku yake muhimu maishani..Mmmm!!!
 
Chinene wako hivyo ila miguu mizuri. Mambo ya sukuma land, ladies wengi ni giants ndo ninachojua..Kumbe na wewe ni wa Busanda?!Thikujua.
aaah totozi za kisuku balaa zimekamilika kila idara...alafu full adabu 100% ukute ile nyeupeee aah saafi sana......ujayanti umechanganya na wanyakyusa wakina uwiano.......
mie sio wa busandaland

Shem hebu nifafanulie hii....
shem za kichina zile fake.....wanapaka wiki tu kitu kinatuna nyuma.....ukitaka kuzindua zishike kwa vidole inakuwa kama zinabonyea kama mfuko wenye maji.....
 
aaah totozi za kisuku balaa zimekamilika kila idara...alafu full adabu 100% ukute ile nyeupeee aah saafi sana......ujayanti umechanganya na wanyakyusa wakina uwiano.......
mie sio wa busandaland

Yo Yo Tell 'Em
 
Back
Top Bottom