Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
View attachment 80109
UBK/RB/119/2013: WIZI
Kibaka anayeonekana katika picha hii ni mwizi mzoefu wa maofisini, ambako
hudokoa vitu mezani baada ya kuwapoteza malengo wafanyakazi kutafuta chenji.
Anatafutwa kwa wizi wa kifaa cha thamani ya Tsh. 1.5 million/- maeneo ya Ubungo.
Tafadhali sana Kama unajua anaishi wapi, au nyendo zake, ni PM mimi au waoneshe Polisi wamkamate na kumpeleka Kituo cha Polisi Ubungo Kibangu. Tunatanguliza shukrani kwa ushirikiano tarajiwa.
AK48, Dar es Salaam.
UBK/RB/119/2013: WIZI
Kibaka anayeonekana katika picha hii ni mwizi mzoefu wa maofisini, ambako
hudokoa vitu mezani baada ya kuwapoteza malengo wafanyakazi kutafuta chenji.
Anatafutwa kwa wizi wa kifaa cha thamani ya Tsh. 1.5 million/- maeneo ya Ubungo.
Tafadhali sana Kama unajua anaishi wapi, au nyendo zake, ni PM mimi au waoneshe Polisi wamkamate na kumpeleka Kituo cha Polisi Ubungo Kibangu. Tunatanguliza shukrani kwa ushirikiano tarajiwa.
AK48, Dar es Salaam.